Wednesday, June 8, 2016

HAWA NDIO WACHEZAJI 10 WANAOTAKIWA NA MOURINHO MAN U

Mourinho ameshakabidhiwa mikoba katika klabu ya Man U na sasa atahitaji kufanya usajili kuimarisha kikosi hicho na kukirudisha katika level zake.


Hawa ni wachezaji 10 ambao Mourinho anawataka  Manchester United;

1. Zlatan Ibrahimovic (Mchezaji Huru)

2. Raphae Varane (Real Madrid)

3. Paul Pogba (Jeventus)


4. James Rodriguez (Real Madrid)

5. Andre Gomes ( Valencia)

6. Eric Bailly (Villarreal)

7. John Stones (Everton)

8. Nemanja Matic ( Chelsea)

9. Joao Mario ( Sporting Lisbon )

10.Miralem Pjanic (Roma)

Related Posts:

  • FARID MUSSA ASUBIRI RUHUSA YA AZAM FCFarid Mussa ni winga wa Azam FC aliyepata nafasi ya kwenda kufanya majaribio katika klabu ya Deportivo Tenerife ya nchini Hispania na kufanikiwa kufuzu majaribio hayo na sasa anasubiri ruhusa ya klabu tu ili aondoke zake. … Read More
  • KIPAUMBELE NAMBA 1 CHA SIMBA KATIKA USAJILI HIKI Simba ipo katika harakati za kuimarisha kikosi chao kwa kuhakikisha hawafanyi makosa katika usajili kipindi hiki ambacho dirisha la usajili limefunguliwa. Uongozi wa Simba umesema kipaumbele chao cha kwanza katika kipindi … Read More
  • NONGA AOMBA VILABU VIJITOKEZE KUMSAJILIPaul Nonga ameziomba klabu ambazo zinahitaji huduma yake kufanya mazungumzo na Yanga. Mshambuliaji huyo ambae hivi karibuni aliuandika uongozi wa Yanga barua akiwa anaomba umuuze kwenye timu nyingine kutokana na kuchoshwa … Read More
  • HUYU NDO ANAYETARAJIWA KUWA KOCHA MPYA SIMBABaada ya kumkosa Kalisto Pasuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya Zimbabwe Simba walielekeza macho yao kwa kocha raia wa Ghana Sellas Tetteh Teivi Simba wanakaribia kumpata kocha huyo baada ya mazungumzo kwenda vizuri, Sellas… Read More
  • SIMBA YANASA KIFAA KINGINE KIPYAKlabu ya Simba imempa mkataba wa miaka miwili kiungo Mohamed Ibrahimu tayari kwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao. Rais wa Simba ameyathibitisha hayo kwa kusema usajili wa Ibrahimu utasaidia kuimarisha timu yao ambayo ina … Read More

0 comments:

Post a Comment