Yanga Yainyoosha Azam Fc Chamanzi

Azam FC 1 - 2 Young Africans.

Kiungo Wa Everton James McCathy Avunjika Mguu

Kiungo James McCarthy wa Everton sasa atakaa nje na kuukosa msimu wote huh baada ya kuvunjika mifupa miwili ya mguu wake.

DRAW CAF CL And CC 2018

Draw Caf Cl and CC 2018

Yanga Yazinduka Yaambulia Ushindi Mwembamba

Klabu ya Yanga leo imefanikiwa kuibuka na ushindi mwembamba wa goli moja kwa sifuri

Madrid Yaivurumisha Deportivo 7-1

Klabu ya Real Madrid leo imefanikiwa kuchomoza na ushindi mnono kwa jumla ya magoli 7-1 dhidi ya Klabu Deportivo la Coruna

Showing posts with label Ratibavpl. Show all posts
Showing posts with label Ratibavpl. Show all posts

Saturday, May 6, 2017

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, inatarajiwa kuendelea leoJumamosi Mei 6 na Jumapili Mei 7, 2017


Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, inatarajiwa kuendelea leoJumamosi Mei 6 na Jumapili Mei 7, mwaka huu kwa jumla ya michezo sita kupigwa mikoa tofauti
Jumamosi hii itapigwa michezo mitano katika mikoa minne tofauti.
Dar es salaam.
Yanga vs Tanzania Prisons  Uwanja wa Taifa
Azam vs Mbao Fc   Azam Uwanja Complex Chamanzi
Pwani
Ruvu Shooting vs Kagera Sugar  Uwanja Mabatini
Mwanza
Toto African vs JKT Ruvu Uwanja CCM Kirumba
Ruvuma
Majimaji vs Mwadui Uwanja wa Majimaji
Kesho jumapili 7 may
Simba SC vs African Lyon Uwanja wa Taifa


Tuesday, March 28, 2017

Tambwe wa Yanga Morris wa Azam fit kwa pambanano April 1


Wakati zikiwa zimebakia siku 4  jumamosi April 1, kwa mchezo unaosubiriwa kwa hamu kati ya mabingwa wa ligi kuu Tanzania timu ya Yanga na mabingwa wa Afrika mashariki na kati timu ya Azam  habari njema ni kupona kwa wachezaji muhimu wa timu hizo.

Saturday, February 11, 2017

simba kukalia kiti cha uongoz wa ligi leo? ratiba kamili ya VPL


Ligi kuu tanzania bara kuendela leo katika viwanja vinne, timu nane kumenyena kuwania taji la ligi kuu Tanzania bara (VPL).

Michezo ya leo itazikutanisha timu ambazo zinataka kujinasua kutoka mkiani na timu ambazo zinalifukuzia taji hilo
Dar es salaam

SIMBA VS TANZANIA PRISONS    katika Uwanja wa Taifa
Mtwara

NDANDA FC VS TOTO AFRICAN katika Uwanja wa Nangwanda
Tanga

RUVU SHOOTING VS AZAM FC katika dimba la Mkwakwani
Shinyanga

STAND UNITED VS MAJIMAJI katika Uwanja wa CCM Kambarage
NB:

Michezo yote kupigwa leo saa 10:00 jioni 

Sunday, October 16, 2016

RATIBA LIGI KUU BARA LEO JUMAPILI

Friday, April 15, 2016

Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara