Tuesday, May 17, 2016

MIJENGO 10 YA KIFAHARI YA MASTAA WA SOKA DUNIANI

Baada ya kushuhudia mashindano mbalimbali duniani yakimalizika katika tasnia ya michezo hasa mpira wa miguu na kuona timu zikishinda na zingine kushindwa na huku mengine yakianza, basi tutoke nje ya uwanja na kuangazia maisha ya wanasoka hawa, hapa nimekuwekea orodha ya nyumba 10 za kifahari wanazomiliki masupastaa 10 wa soka duniani.


Wayne Rooney





Neymar Jr


Mario Balotelli




Zlatan Ibrahimovic



Lionel Messi



Christiano Ronaldo



David Beckham



Thierry Henry



Gareth Bale


Garry Neville




Related Posts:

  • UZI MPYA WA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO Klabu ya Manchester United imetoa jezi zake mpya zitakazotumiwa katika msimu ujao wa ligi kuu Uingereza. Jezi mpya za Man U msimu ujao Bei: Shirt ni Pauni 60 (Tsh.172862) kwa wakubwa na ukihitaji ya mikono mirefu inakuwa … Read More
  • SUNDERLAND YAMRUDISHA DAVID MOYES UINGEREZA Klabu ya Sunderland imemteua kocha wa zamani wa Manchester United David Moyes kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya Sam Allardyce kukabidhiwa kikosi cha timu ya taifa ya England. Moyes anachukua mikoba ya Sam Allardyce k… Read More
  • TAARIFA YA WAKALA WA PAUL POGBA YAZUA GUMZO Uhamisho wa Paul Pogba kwenda Manchester United umezidi kuchukua sura mpya baada ya sasa hivi kuonekana dili hilo bado kabisa kukamilika. Wakala wa Pogba, Minola Raiola, ametumia akaunti yake ya twiter kukanusa uvumi una… Read More
  • MEDEAMA YAICHIMBA MKWARA YANGA Klabu ya Medeama SC imetoa onyo kwa Yanga kuelekea mchezo wao wa marudiano utakaofanyika siku ya Jumatano huko nchini Ghana. Mkwara huo umekuja baada ya Medeama kushinda katika mchezo wake dhidi ya Liberty Professionals w… Read More
  • VIDEO: DORTMUND 4 - 1 MAN U TAZAMA MAGOLI YOTE Tazama Video Ya Magoli Yote Hapa Chini Ungana Na Soka24 Facebook, Bonyeza  HAPA  Kwa Habari Za Haraka Za Soka Kote Ulimwenguni. … Read More

0 comments:

Post a Comment