Wednesday, March 21, 2018

BREAKING NEWS: Hawa Ndo Wanaokutana na Yanga Kombe La Shirikisho Africa

Draw ya klabu bingwa Africa CAF pamoja na kombe la shirikisho imekamilika usiku huu, huku Wawakilishi pekee kutoka nchini Tanzania klabu ya Yanga ikipangwa kucheza na klabu ya Welayta Dicha F.C. kutoka nchini Ethiopia.
Draw nzima hii hapa chini


0 comments:

Post a Comment