Wednesday, March 21, 2018

PICHA:CHANGAMSHA SIKU YAKO KISOKA

Uongo wa wachezaji; Vidal kapiga chini Mwenyewe anadai Penati!!! Lol

Kama Kweli Vile

Nadhani Hapa Mashabiki Walizuiwa kuingia Uwanjani: Jamaa Kafunga Goli Kaenda Kujishangilia Mwenyewe: Hahahahaaa


Mwangalie Golikipa: Alijua anaekuja na mtu hatari akaona aombe mungu mapema kabla haijawa tabu.

Haya Kwa wale wachezaji wetu wa VPL; Bonge la trick hili hapa

Pale Mbwembwe Zinapopitiliza

Bonge moja la SAVE, Huyu Golikipa ni Hatari

Huyu Jamaa Ukorofi Kazaliwa nao


Hii ndo Speed ya 4G

Mambo ya Guadiola Haya

0 comments:

Post a Comment