Wednesday, March 21, 2018

PICHA:CHANGAMSHA SIKU YAKO KISOKA

Uongo wa wachezaji; Vidal kapiga chini Mwenyewe anadai Penati!!! Lol

Kama Kweli Vile

Nadhani Hapa Mashabiki Walizuiwa kuingia Uwanjani: Jamaa Kafunga Goli Kaenda Kujishangilia Mwenyewe: Hahahahaaa


Mwangalie Golikipa: Alijua anaekuja na mtu hatari akaona aombe mungu mapema kabla haijawa tabu.

Haya Kwa wale wachezaji wetu wa VPL; Bonge la trick hili hapa

Pale Mbwembwe Zinapopitiliza

Bonge moja la SAVE, Huyu Golikipa ni Hatari

Huyu Jamaa Ukorofi Kazaliwa nao


Hii ndo Speed ya 4G

Mambo ya Guadiola Haya

Related Posts:

  • WENGER KUMWONGEZA MKATABA JACK WILSHERE Meneja Wa Arsenal Arsene Wenger Amepanga Kumwongezea Mkataba Mrefu Zaidi Wilshere. Arsene Wenger  ana mpango wa muda mrefu na Jack Wilshere hivyo kupanga kumwongezea mkataba utakaomuweka klabuni hapo kwa muda mrefu … Read More
  • BAADA YA KUSHUKA DARAJA ASTON VILLA YAPIGWA MNADA Klabu ya soka ya Aston villa ambayo imeteremka daraja msimu huu katika ligi kuu ya England,hatimaye imenunuliwa na tajiri wa kichina Tony Xia ambaye ni mfanya biashara aliyewekeza katika sekta ya Michezo,Utalii,kilimo na afy… Read More
  • BRENDAN RODGERS KOCHA MPYA CELTIC Rodgers aliyetimuliwa na Liverpool mwezi October 2015 amechukua nafasi ya kocha Ronny Deila aliyeachia ngazi katika klabu ya Celtic ya nchini Scotland. Kocha huyo wa Zamani wa Liverpool na Swansea amesaini mkataba wa mie… Read More
  • HATIMA YA SERENGETI BOYS KUJILIKANA LEO Timu ya soka ya Taifa ya Vijana wenye umri wa chini ya miaka 17 "Serengeti Boys" inashuka dimbani tena leo Mei 21 kucheza na Malaysia. Serengeti Boys inayofanya vizuri katika michuanao hiyo huko nchini India ilifanikiw… Read More
  • TIMU YA SAMATTA YAIBAMIZA ANDERLECHT 5 - 2 GENK 5 - 2 ANDERLECHT WAFUNGAJI;KRC GENK L. Bailey 45'+, T. Buffel 65', Pozuelo 76', O. Ndidi 78', N. Karelis 90'+ ANDERLECHT; F. Đuričić 25', M. Suárez 60' … Read More

0 comments:

Post a Comment