![]() |
| Uongo wa wachezaji; Vidal kapiga chini Mwenyewe anadai Penati!!! Lol |
![]() |
| Kama Kweli Vile |
![]() |
| Nadhani Hapa Mashabiki Walizuiwa kuingia Uwanjani: Jamaa Kafunga Goli Kaenda Kujishangilia Mwenyewe: Hahahahaaa |
![]() |
| Mwangalie Golikipa: Alijua anaekuja na mtu hatari akaona aombe mungu mapema kabla haijawa tabu. |
![]() |
| Haya Kwa wale wachezaji wetu wa VPL; Bonge la trick hili hapa |
![]() |
| Pale Mbwembwe Zinapopitiliza |
![]() |
| Bonge moja la SAVE, Huyu Golikipa ni Hatari |
![]() |
| Huyu Jamaa Ukorofi Kazaliwa nao |
![]() |
| Hii ndo Speed ya 4G |
![]() |
| Mambo ya Guadiola Haya |
















0 comments:
Post a Comment