Wednesday, March 21, 2018

PICHA:CHANGAMSHA SIKU YAKO KISOKA

Uongo wa wachezaji; Vidal kapiga chini Mwenyewe anadai Penati!!! Lol

Kama Kweli Vile

Nadhani Hapa Mashabiki Walizuiwa kuingia Uwanjani: Jamaa Kafunga Goli Kaenda Kujishangilia Mwenyewe: Hahahahaaa


Mwangalie Golikipa: Alijua anaekuja na mtu hatari akaona aombe mungu mapema kabla haijawa tabu.

Haya Kwa wale wachezaji wetu wa VPL; Bonge la trick hili hapa

Pale Mbwembwe Zinapopitiliza

Bonge moja la SAVE, Huyu Golikipa ni Hatari

Huyu Jamaa Ukorofi Kazaliwa nao


Hii ndo Speed ya 4G

Mambo ya Guadiola Haya

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment