CAF YAIFUTA ES SETIF KLABU BINGWA AFRIKAMabingwa mara mbili wa kombe la klabu bingwa Afrika, ES Setif wametolewa katika michuano hiyo kufuatia vurugu zilizofanywa na mashabiki wao.
Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF limeiondoa klabu ya ES Setif kweny…Read More
FAINALI COPA AMERICA 2016 NI CHILE VS ARGENTINA
Timu ya taifa ya Chile imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 2 - 0 dhidi ya Colombia katika mchezo wa nusu fainali Copa America 2016 na kufanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo na sasa watakutana na Argentina kwa m…Read More
ARGENTINA YATINGA FAINALI MESSI AWEKA REKODI COPA AMERICA
Lionel Messi ameweka Rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote katika kikosi cha Argentina baada ya kufunga goli katika mechi ya robo fainali michuanoo ya Copa America dhidi ya Marekani, Mechi iliyomalizika alfajiri ya Le…Read More
0 comments:
Post a Comment