Ruvu Shooting ipo katika mipango ya kusajili wachezaji saba ili kujiimarisha kabla hawajaanza kipute cha ligi kuu Vodacom msimu wa 2016/17.
kwa sasa Ruvu Shooting inaendelea na kambi kwenye uwanja wa Mabatini Mlandizi, Pwani kujiweka fiti kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi baada ya kuikosa michuano hiyo mwaka jana waliposhuka daraja.
Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kikosi chao kimeshaanza maandalizi lengo kubwa likiwa ni kuhakikisha wanaanza ligi vizuri.
"Timu yetu ipo kambini ikiendelea na mazoezi na wakati huo, tunaendelea kutafuta wachezaji wenye uwezoa ambao wataenda kushindana na kuleta ushindani katika ligi" alisema Bwire.
Akizungumzia kikosi hicho kwa ujumla Msemaji huyo alisema kuwa kuna matatizo katik safu yao ya ulinzi, winga na ushambuliaji kitu kinachowafanya waingie sokoni kusaka wachezaji watakaomaliza matatizo hayo.
Friday, June 17, 2016
RUVU SHOOTING KUKIPA NGUVU KIKOSI CHAO
Related Posts:
MTIBWA HAITAMBUI USAJILI WA ANDREW VICENT YANGA Klabu ya Yanga hivi karibuni ilitangaza kumnasa mchezaji wa Mtibwa Sugar Andrew Vicent "Dante" lakini Msemaji wa Klabu ya Mtibwa, Thobias Kifaru amesema hana taarifa hizo. Klabu ya Mtibwa Sugar imesema haijapata taarifa j… Read More
HAWA NDIO WACHEZAJI 10 WANAOTAKIWA NA MOURINHO MAN U Mourinho ameshakabidhiwa mikoba katika klabu ya Man U na sasa atahitaji kufanya usajili kuimarisha kikosi hicho na kukirudisha katika level zake. Hawa ni wachezaji 10 ambao Mourinho anawataka Manchester United; … Read More
TAYARI MOURINHO AMEMNASA ERIC BAILLY WA VILLARREAL Eric Bailly anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Jose Mourinho katika klabu ya Manchester United. Eric Bailly amekamilisha vipimo vya afya mapema leo na tayari beki huyo ameshasaini mkataba wa miaka 4 na klabu ya Man … Read More
SIMBA YAMNASA WINGA MACHACHARI, ASAINI MIAKA 2 Klabu ya Simba Sports Club imefanikiwa kumsajili mchezaji wa Mwadui FC, Jamali Mnyate aliyesaini mkataba wa miaka 2 kwa uhamisho wa Tsh. Milioni 15. Kufuatia usajili huo Makamu Rais wa klabu hiyo, Geofrey Nyange Kaburu a… Read More
BEKI WA BLACK LEOPARDS YA AFRIKA KUSINI KUTUA SIMBA Mwenyekiti wa kamati ya usajili Simba Hans Poppe yupo katika mazungumzo na Beki wa kati wa klabu ya Black leopards ya nchini Afrika kusini Harry Nyirenda. Hans Pope yupo nchini Zimbabwe kukamilisha usajili wa kocha Kalist… Read More
0 comments:
Post a Comment