Sunday, August 28, 2016

TANZIA;BABA YAKE DEOGRATIUS MUNISH "DIDA" AAGA DUNIA

Baba wa Mlinda Mlango namba 1 wa Mabingwa Watetezi wa Ligi kuu Tanzania Bara, Deogratius Munish amefariki Dunia mchana wa leo.

Mzee Munishi ameaga dunia mchana wa leo, kifo chake kimetokea wakati tayari Dida anakaribia kuingia uwanjani lakini  hakupewa taarifa kwa sababu za kiufundi na kibinadamu.

Soka24 Inatoa Pole kwa Familia ya Dida, Mungu awape uvumilivu katika kipindi hiki kigumu.
Amen

Related Posts:

  • HII NDO SABABU YA YANGA KUTOKUUZA WACHEZAJI ULAYA Kocha mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amesema wachezaji wengi wa Tanzania hawako tayari kucheza mpira wa kulipwa ulaya. Kwa muda mrefu imeonekana kuwa Yanga inawabania sana wachezaji wake hasa pale wanapopata nafasi ya kut… Read More
  • SIMBA WAIPANIA NDANDA FC Katibu mkuu wa Simba, Patrick kahemela ameapa kurudisha furaha na kuachana na machungu ya kutoka vichwa chini katika mechi zao za ligi kuu. Kiongozi huyo amesema Ndanda FC ndiyo itakuwa ya mfano kwani imepania kuwapa raha… Read More
  • NAMUNGO FC YAPIGWA FAINI, YAPANDA DARAJA Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeipiga faini ya Sh. 500,000, Klabu ya Namungo FC ya Lindi kwa kila mechi ambayo mchezaji Imani Vamwanga aliichezea timu hiyo akitumia jina la Emmanuel T.… Read More
  • YANGA WAMWONGEZEA MKATABA PLUIJM Mabingwa wa ligi kuu Vodacom na wawakilishi pekee Afrika Mashariki katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika (CAF CC), Yanga wamemwongezea mkatabawa miaka miwili kocha wao Hans Van Pluijm. Kocha huyo ambaye ame… Read More
  • JOSEPH OMOG AMPA USHAURI WA BURE PLUIJM Kocha mkuu mpya wa klabu ya Simba, Joseph Omog ametoa ushauri kwa klabu ya Yanga akiwaambia kuwa kama wanataka kufanya vizuri kwenye michuano ya shirikisho Afrika ni lazima wahakikishe wanazitumia nafasi za magoli wanazozipa… Read More

0 comments:

Post a Comment