Monday, August 29, 2016

MAISHA YA FABREGAS CHELSEA YAFIKA UKINGONI

Cesc Fabregas ameambiwa na kocha wa klabu ya Chelsea Antonio Conte kuwa anaweza kuondoka klabuni hapo.

Conte ametoa kauli hiyo huku kukiwa kumebaki siku 2 tu kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili barani ulaya.
Kiungo huyo raia wa Hispania ameshindwa kumshawishi Conte kuendelea kumbakiza klani hapo.

Fabregas amecheza dakika 12 tu katika msimu huu wa ligi kuu Nchini Uingereza Chini ya Kocha Antonio Conte.
 Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook, Bonyeza  HAPA

Related Posts:

  • WENGER KUMWONGEZA MKATABA JACK WILSHERE Meneja Wa Arsenal Arsene Wenger Amepanga Kumwongezea Mkataba Mrefu Zaidi Wilshere. Arsene Wenger  ana mpango wa muda mrefu na Jack Wilshere hivyo kupanga kumwongezea mkataba utakaomuweka klabuni hapo kwa muda mrefu … Read More
  • SPURS NA ARSENAL KUWANIA SAINI YA MIDFIELD RAIA WA KENYA Tottenham Na Arsenal Wanasaka Saini Ya Midfieda Wa Southampton Victor Wanyama Wanyama alikuwa karibu kujiunga na Tottenham msimu uliopita lakini dili hilo lilifeli. Inasemekana Spurs bado wanania ya kumsajili Wanyama w… Read More
  • BRENDAN RODGERS KOCHA MPYA CELTIC Rodgers aliyetimuliwa na Liverpool mwezi October 2015 amechukua nafasi ya kocha Ronny Deila aliyeachia ngazi katika klabu ya Celtic ya nchini Scotland. Kocha huyo wa Zamani wa Liverpool na Swansea amesaini mkataba wa mie… Read More
  • HABARI KUBWA ZA USAJILI BARANI ULAYA LEO MEI 19 Arsenal Imetenga Euro Milioni 65 Kumnasa Morata Klabu ya Arsenal imetenga kitita Cha Euro Milioni 65 kuhakikisha wanapata saini ya Morata anayetumikia klabu ya Juve kwa sasa. Sessegnon & Anichebe Kuondoka West Bro… Read More
  • YAYA TOURE ASAINI MKATABA NA CAEN YA UFARANSA Ni hatua nzuri katika maisha yake ya soka, akiwa ametumikia klabu ya Aminens kwa miaka mitatu na kufanikiwa kupewa jukumu la unahodha katika kikosi cha vijana U17s, sasa  hivi amepata mkataba wake mkubwa. Ikiwa… Read More

0 comments:

Post a Comment