Home »
Kitaifa
» "SITOICHEZEA TENA SIMBA MSIMU UJAO" MAJABVI
Kiungo wa Kimataifa wa Simba Jastice Majabvi, ameweka wazi kuwa hatoichezea tena timu hiyo msimu ujao baada ya mkataba wake kuwa umemalizika.
Kiungo huyo amesema mipango yake kwa sasa ni kueleka nchini Sweden kujaribu bahati yake na ataachana na vijana wa Msimbazi. Maamuzi hayo ya Majabvi yanakuja baada ya Mke wake kuajiriwa nchini Sweden hivyo amesema anataka kwenda kumpa kampani.
"Nawashukuru viongozi wa Simba pamoja na mashabiki wa timu hiyo kwa ushirikiano mzuri walionipa siwezi kuendelea kucheza soka kwa sababu nataka kuwa karibu na familia yangu ambayo imepata uhamisho nchini Sweden" alisema Majabvi.
Related Posts:
PLUIJM AWACHIMBA MKWARA WACHEZAJI YANGA
Wachezaji wa Yanga walipewa mapumziko baada ya fainali ya kombe la shirikisho TFF, Kocha Pluijm ametoa onyo kwa wachezaji wote ambao watachelewa kufika kikosi hapo.
Yanga wameanza mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao wa kwa… Read More
SAKATA LA UCHAGUZI YANGA, WAGOMBEA WAWEKEWA VIKWAZO
Wote waliochukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi Yanga kupitia TFF wametakiwa kuchua fomu upya katika makao makuu ya klabu ya Yanga.
Wagombea wote waliochukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi Yan… Read More
YALIYOJIRI KESI YA MWINYI KAZIMOTO
Kesi ya mchezaji wa Simba Mwinyi kazimoto kumshambulia na kumdhuru mwandishi wa habari imetolewa maamuzi yalimwacha huru mchezaji huyo .
Kesi hiyo iliyokuwa inayomkabili mchezaji huyo wa Simba na Timu ya Taifa, Taif… Read More
AARON NYANDA AJIENGUA UCHAGUZI YANGA
Nyanda aliyekuwa anagombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga, amejitoa kushiriki uchaguzi huo utakaofanyika kesho Juni 11, 2016.
Nyanda ambaye alichukua fomu za kuwania nafasi hiyo kwenye ofisi za shirikisho la mpira w… Read More
WASANII, WANAMICHEZO WATENGEWA BILIONI 3
Serikali imetenga kiasi cha Sh. bilioni 3 kwa lengo la kutekeleza miradi mbalimbali ya michezo, sanaa na ubunifu.
Pesa hizo zimetengwa na serikali katika mwaka ujao wa fedha,kwa mujibu wa kauli ya Waziri wa fedha na uchum… Read More
0 comments:
Post a Comment