Tuesday, November 8, 2016

MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA PAMOJA NA MECHI ZA KESHO NOVEMBA 9

baada ya michezo ya wikiendi timu nyingi zimekamilisha raundi ya kwanza baada ya kumaliza michezo 15 na timu sita zimebaki ambapo zitashuka viwanja tofauti siku ya kesho jumatano novemba 9 ili kuhitimisha raundi hiyo.
Jiji Dar es salaam katika dimba la Uhuru wenyeji Dar es salaam Young Africans wataikaribisha timu ya Ruvu Shooting ya Mlandizi mkoani pwani.
  Huko shinyanga timu ya Mwadui FC wataikaribisha timu ya Azam FC 
wakati huko Mbeya maafande wa Tanzania Prisons wataialika simba ya Dar es salaam.
msimamo wa ligi hiyo mpka sasa ni kama ifuatavyo:


Related Posts:

  • SAKATA LA UCHAGUZI YANGA, WAGOMBEA WAWEKEWA VIKWAZO Wote waliochukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi Yanga kupitia TFF wametakiwa kuchua fomu upya katika makao makuu ya klabu ya Yanga. Wagombea wote waliochukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi Yan… Read More
  • PLUIJM AWACHIMBA MKWARA WACHEZAJI YANGA Wachezaji wa Yanga walipewa mapumziko baada ya fainali ya kombe la shirikisho TFF, Kocha Pluijm ametoa onyo kwa wachezaji wote ambao watachelewa kufika kikosi hapo. Yanga wameanza mazoezi ya kujiandaa na mchezo wao wa kwa… Read More
  • TFF YATANGAZA TAREHE YA KUFUNGULIWA DIRISHA LA USAJILI Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF limetangaza tarehe ya kuanza kwa zoezi la usajili kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu Vodacom Tanzania kuwa ni Juni 15 hadi Agosti 6, 2016. Kwa mujibu wa kalenda ya shiriki… Read More
  • WASANII, WANAMICHEZO WATENGEWA BILIONI 3 Serikali imetenga kiasi cha Sh. bilioni 3 kwa lengo la kutekeleza miradi mbalimbali ya michezo, sanaa na ubunifu. Pesa hizo zimetengwa na serikali katika mwaka ujao wa fedha,kwa mujibu wa kauli ya Waziri wa fedha na uchum… Read More
  • YALIYOJIRI KESI YA MWINYI KAZIMOTO Kesi ya mchezaji wa Simba Mwinyi kazimoto kumshambulia na kumdhuru mwandishi wa habari imetolewa maamuzi yalimwacha huru mchezaji huyo . Kesi hiyo iliyokuwa  inayomkabili mchezaji huyo wa Simba na Timu ya Taifa, Taif… Read More

0 comments:

Post a Comment