Monday, May 2, 2016

MAN CITY NA LIVERPOOL ZAPOKEA VICHAPO VIZITO


Ligi kuu Nchini Uingereza imeendela tena jana katika viwanja mbalimbali, katika mechi za awali Swansea iliwakaribisha majogoo wa London Liverpool Na mchezo mungine ulikuwa  ni Kati ya Southermpton na Manchester City.
Katika mechi ya Liverpool Jürgen Klopp alishuhudia vijana wake wakishushiwa kipigo kikali cha magoli 3 - 1 mchezo uliopigwa katika dimba la Liberty Stadium.Magoli ya Swansea yalifungwa Na Andre Ayew dakika ya 20 Na 67 Na lingine likifungwa Na J.Cork dakika ya 33, huku goli la kufutia machozi la Liverpool likifungwa Na Benteke dakika ya 65.
Vijana wa Manuel Pelegrin nao walishindwa kutamba mbele ya Southermpton baada ya kukubali kipigo cha magoli 4-2. Magoli ya Southermpton yamefungwa Na Mane aliepiga hat-trick akifunga dakika ya 28', 57' Na 68', lingine likifungwa Na Long dakika ya 20, wakati magoli ya Man City yakifungwa Na lheanacho dakika ya 44 na 78.
Pata habari za michezo kwa haraka zaidi kupitia soka24.blogspot.com

Related Posts:

  • WAREMBO 24 WA MASUPASTAA 24 KUSHUHUDIA EURO 2016 UEFA Euro 2016 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi hivi karibuni, na timu zote shiriki zimeshatangaza vikosi vyao vya wachezaji 23 watakaochuana kufukuzia kombe  hilo ambalo kwa mwaka huu mashindano hayo yatafanyika nc… Read More
  • CAF YATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA KLABU BINGWA AFRICA 2017 Maafisa wa shirikisho la kandanda barani afrika (CAF) wamedokeza kuwa kutakuwa na mabadiliko katika ratiba ya michuano ya klabu bingwa barani na ile ya mashirikisho. Rais wa shirikisho hilo Issa Hayatou amethibitisha hay… Read More
  • WAAMUZI TANZANIA WALA SHAVU CAF Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi wanne kuchezesha mchezo Na. 27 kati ya Ethiopia dhidi ya Ghana kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana 2017 utakaofanyika Uwanja wa Addis Ababa … Read More
  • KUMBE HUYU NDO ALIYEIFUNGISHA MAN UTD DHIDI YA WESH HAM Manchester United ilishindwa kupata ushindi waliokuwa wanauhitaji ili wajihakikishie nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu nchi Uingereza baada ya kukubali kipigo cha 3 – 2 kutoka kwa wagonga nyundo wa West Ham, kufua… Read More
  • JUVENTUS YAISHUSHIA KIPIGO KIKALI SAMPDORIA Mabingwa wa ligi kuu nchini Italia Juventus, jana wametoa kipigo kikali kwa timu ya Sampdoria kwa kuichapa magoli 5 – 0, Juventus tayari walishakuwa mabingwa hata kabla ya mchezo wao dhidi ya Sampdoria na sasa wamefikish… Read More

0 comments:

Post a Comment