Thursday, May 12, 2016

KUMBE HUYU NDO ALIYEIFUNGISHA MAN UTD DHIDI YA WESH HAM


Manchester United ilishindwa kupata ushindi waliokuwa wanauhitaji ili wajihakikishie nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu nchi Uingereza baada ya kukubali kipigo cha 3 – 2 kutoka kwa wagonga nyundo wa West Ham, kufuatia kipigo hicho lawama kubwa zimeelekezwa kwa beki Marcos Rojo ambae ameonekana kufanya vibaya katika mchezo huo. 

Mchezaji huyo raia wa Argentina anayevaa jezi namba 5 katika klabu hiyo ya Man Utd amebebeshwa lawama hizo na mashabiki wa United akilalamikiwa kushindwa kuzuia krosi zilizokuwa zinapigwa na wachezaji wa West Ham. Rojo amekuwa na wakati mgumu klabuni hapo tangu ajiunge mwaka 2014 akitokea Sporting na ameonekana kuwakera zaidi mashabiki wa United katika mechi yao iliyochezwa jumanne wiki hii.

HIZI HAPA NI BAADHI YA TWEETS ZA MASHABIKI ZIKIELEKEZA LAWAMA KWA ROJO




Related Posts:

  • AUBAMEYANG AITAMANI REAL MADRID Hakuna ubishi kuwa Nyota wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang anatamani kujiunga na miamba ya soka ya nchini Hispania klabu ya Real Madrid. Aubameyang amewahi kumuahidi babu yake kuwa ipo siku atakuja kucheza k… Read More
  • NYOTA WA ZAMANI WA MAN UNITED AITABIRA UBINGWA CHELSEA Paul Scholes anasema Chelsea wana nafasi ya kuibuka mabingwa wa ligi kuu Nchini Uingereza. Chelsea inaongoza ligi hiyo kufuatia ushindi mnono katika mechi zake tatu ambazo imekwishacheza hadi hivi sasa chini ya kocha Mpya… Read More
  • Rasmi: Torino Yamnasa Joe Hart Mlinda Mlango namba moja wa Uingereza Joe Hart amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Klabu ya Torino inayoshiriki ligi kuu nchini Italia kwa mkopo akitokea Manchester City. Hart alijikuta akiwa chaguo la pili la kocha Pep … Read More
  • Rasmi: Wilfred Bony Atua Stoke City Klabu ya Stoke City imekamilisha uhamisho wa Wilfred Bony kwa mkopo akitokea klabu ya Manchester City. Bony aliyefeli kumshawishi kocha mpya wa City, Mhispania Pep Guardiola amefanikiwa kufunga magoli 11 katika michezo 4… Read More
  • Arsenal Yakamilisha Usajili Wa Shkodran Mustafi Klabu ya Arsenal imetangaza rasmi kumsajili beki wa kati wa Valencia Shkodran Mustafi kwa ada ya uhamisho ambayo haijawekwa wazi. Licha ya thamani ya uhamisho wa mchezaji huyo kutowekwa wazi lakini habari za chini chini z… Read More

0 comments:

Post a Comment