Friday, May 13, 2016

CAF YATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA KLABU BINGWA AFRICA 2017


Maafisa wa shirikisho la kandanda barani afrika (CAF) wamedokeza kuwa kutakuwa na mabadiliko katika ratiba ya michuano ya klabu bingwa barani na ile ya mashirikisho. Rais wa shirikisho hilo Issa Hayatou amethibitisha hayo katika mkutano wa 38 wa maafisa wa (CAF) uliofanyika mjini Mexico kabla ya kongamano la shirikisho la kandanda duniani kufanyika. Katika mabadiliko hayo, timu 16 zitagaeanywa katika makundi manne yaliyo na timu nne badala ya nane. Katika mkutano huo, Hayatou pia alieleza mafanikio ya timu kutoka barani afrika katika mashindano ulimwenguni. Miongoni mwa waliohudhuria mkutano huo ni aliyekuwa mchezaji wa Cameroon Samuel Etoo.

Related Posts:

  • CARLO ANCELOTTI AMTABIRIA MABAYA PEP GUARDIOLA Kocha anayechukua mikoba ya Pep Guardiola katika klabu ya Bayern Munich Carlo Ancelotti amesema ipo siku Guardiola atatimuliwa kama mbwa katika maisha yake ya ukocha. Ancelotti amemuonya Pep kwamba katika maisha yake … Read More
  • KUMBE HUYU NDO ALIYEIFUNGISHA MAN UTD DHIDI YA WESH HAM Manchester United ilishindwa kupata ushindi waliokuwa wanauhitaji ili wajihakikishie nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu nchi Uingereza baada ya kukubali kipigo cha 3 – 2 kutoka kwa wagonga nyundo wa West Ham, kufua… Read More
  • JUVENTUS YAISHUSHIA KIPIGO KIKALI SAMPDORIA Mabingwa wa ligi kuu nchini Italia Juventus, jana wametoa kipigo kikali kwa timu ya Sampdoria kwa kuichapa magoli 5 – 0, Juventus tayari walishakuwa mabingwa hata kabla ya mchezo wao dhidi ya Sampdoria na sasa wamefikish… Read More
  • WAAMUZI TANZANIA WALA SHAVU CAF Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi wanne kuchezesha mchezo Na. 27 kati ya Ethiopia dhidi ya Ghana kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana 2017 utakaofanyika Uwanja wa Addis Ababa … Read More
  • CAF YATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA KLABU BINGWA AFRICA 2017 Maafisa wa shirikisho la kandanda barani afrika (CAF) wamedokeza kuwa kutakuwa na mabadiliko katika ratiba ya michuano ya klabu bingwa barani na ile ya mashirikisho. Rais wa shirikisho hilo Issa Hayatou amethibitisha hay… Read More

0 comments:

Post a Comment