Maafisa wa shirikisho la kandanda barani afrika (CAF) wamedokeza kuwa kutakuwa na mabadiliko katika ratiba ya michuano ya klabu bingwa barani na ile ya mashirikisho. Rais wa shirikisho hilo Issa Hayatou amethibitisha hayo katika mkutano wa 38 wa maafisa wa (CAF) uliofanyika mjini Mexico kabla ya kongamano la shirikisho la kandanda duniani kufanyika. Katika mabadiliko hayo, timu 16 zitagaeanywa katika makundi manne yaliyo na timu nne badala ya nane. Katika mkutano huo, Hayatou pia alieleza mafanikio ya timu kutoka barani afrika katika mashindano ulimwenguni. Miongoni mwa waliohudhuria mkutano huo ni aliyekuwa mchezaji wa Cameroon Samuel Etoo.
Friday, May 13, 2016
CAF YATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA KLABU BINGWA AFRICA 2017
Related Posts:
RATIBA YOTE EURO 2016 RATIBA EURO 2016 IJUMAA, June 10: Group A, France v Romania (SAA 4:00 USIKU; UWANJA- Stade de France, Paris) JUMAMOSI, June 11: Group A, Albania v Switzerland (SAA 10:00 JIONI; UWANJA- Stade Boll… Read More
MATOKEO COPA AMERICA BRAZIL vs PERU,ECUADOR vs HAITI MATOKEO COPA AMERICA 2016 Brazil 0 - 1 Peru Ruidiaz 75' Ecuador 4 - 0 Haiti Valencia 11' Ayovi 20' Noboa 57' Valencia 78' ============== Bonyeza hap… Read More
PICHA: YANGA NDANI YA UTURUKI ============== Bonyeza hapa ku-Like Page yetu ya Facebook ==============… Read More
GOLI LA UTATA LAITUPA BRAZIL NJE YA COPA AMERICAKwa Mara ya kwanza tangu mwaka 1987 Brazil inatolewa katika hatua ya makundi michuano ya Copa America. Timu ya Taifa ya Brazil imeondolewa katika michuano ya Copa America kufuatia goli la utata lililofungwa na Ruidiaz kuna… Read More
VIDEO: HILI NDO GOLI LILILOZUA UTATA, BRAZIL 0 - 1 PERU Tazama Goli Lililozua Utata Brazil 0 - 1 Peru ============== Bonyeza hapa ku-Like Page yetu ya Facebook ============== … Read More
0 comments:
Post a Comment