Adam Johnson Kukata Rufaa
Mchezaji Adam Johnson amefikia maamuzi ya kukata rufaa
kufuatia sakata lake la kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka
18, Johnson ameamua kufikia maamuzi hayo baada ya hukumu yake ya kifungo cha…Read More
Mengine Yakustaajabisha Yanayomhusu Neymar Jr
Ni mara chache sana hutokea mtu kumsikitikia mchezaji Mkubwa anaepata kipato kidogo, lakini habari zilizovuja hivi punde kupitia mtandao wa Football Leaks zinaonyesha kwamba Neymar anapata Sh. Milioni 240 kw…Read More
Mrembo Afichua Siri Za Christiano Ronaldo
Licha ya kuwa na majukumu mengi ya kuitumikia moja ya klabu kubwa duniani lakini Cristiano Ronaldo bado yuko vizuri kukimbizana warembo wakali.
Star huyo wa Madrid amekuwa na mahusiano na vimwana wenye majina makubwa kwa …Read More
Mnyama Afanyiwa Ujangili TaifaTimu ya soka ya Simba SC imejikuta nje ya michuano ya FA baada ya kupokea kichapo toka kwa timu ya Coastal Union.
Katika mchezo huo wa vuta nikuvute Coasta ilikuwa yakwanza kutikisa nyavu za Simba baada ya mchezaji Yusuf kupi…Read More
0 comments:
Post a Comment