HAWA NDIO WACHEZAJI 10 WANAOTAKIWA NA MOURINHO MAN U
Mourinho ameshakabidhiwa mikoba katika klabu ya Man U na sasa atahitaji kufanya usajili kuimarisha kikosi hicho na kukirudisha katika level zake.
Hawa ni wachezaji 10 ambao Mourinho anawataka Manchester United;
…Read More
TAYARI MOURINHO AMEMNASA ERIC BAILLY WA VILLARREAL
Eric Bailly anakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Jose Mourinho katika klabu ya Manchester United.
Eric Bailly amekamilisha vipimo vya afya mapema leo na tayari beki huyo ameshasaini mkataba wa miaka 4 na klabu ya Man …Read More
STEPHEN KESHI AFARIKI DUNIA
Mchezaji wa zamani wa Nigeria na baadaye akaja kuwa kocha wa Timu hiyo ya Super Eagles Stephen Okechukwu Chinedu Keshi ameiaga Dunia saa chache zilizopita.
Watu wake wa karibu wanasema hakuwa na tatizo lolote la afya la…Read More
0 comments:
Post a Comment