Sunday, May 15, 2016

BARCELONA WATETEA UBINGWA WAO


Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuifunga Granada kwa jumla ya magoli 3 – 0 magoli yote yakifungwa na Luis Suarez, Barcelona wametwaa ubingwa huo kwa tofauti ya pointi 1 tu na mahasimu wao wakubwa Real Madrid ambao nao pia jana walishuka uwanjani kucheza na Deportivo mchezo ambao ulimalizika kwa Madrid  kushinda magoli 2 – 0 mabao yote yakifungwa na Christiano Ronaldo.

Licha ya kuisaidia timu yake kutwaa ubingwa huo Luis Suarez pia amemaliza msimu wa ligi akiwa kinara wa upachikaji wa magoli, akiwa na jumla ya magoli 40 akimuacha CR7 kwa tofauti ya magoli 5.

Related Posts:

  • CAF YAIFUTA ES SETIF KLABU BINGWA AFRIKAMabingwa mara mbili wa kombe la klabu bingwa Afrika, ES Setif wametolewa katika michuano hiyo kufuatia vurugu zilizofanywa na mashabiki wao. Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF limeiondoa klabu ya ES Setif kweny… Read More
  • IBRAHIMOVIC ATANGAZA KUSTAAFU SOKAZlatan Ibrahimovic 34, amesema atastaafu kuitumikia timu yake ya taifa baada ya kumalizika kwa michuano ya Euro 2016' Ibrahimovic amesema mechi yake ya mwisho ni kati ya Sweden na Ubelgiji itakayochezwa Jumatano. Sweden it… Read More
  • FAINALI COPA AMERICA 2016 NI CHILE VS ARGENTINA Timu ya taifa ya Chile imefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 2 - 0 dhidi ya Colombia katika mchezo wa nusu fainali Copa America 2016 na kufanikiwa kutinga fainali ya michuano hiyo na sasa watakutana na Argentina kwa m… Read More
  • YANGA TAYARI KWA KUIVAA MO BEJAIA Timu Ya Yanga imeshawasili nchini Algeria tayari kwa kuwavaa MO Bejaia katika mchezo wa kwanza hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika CAF CC, utakaofanyika siku ya kesho Jumapili juni 19, 2016 … Read More
  • ARGENTINA YATINGA FAINALI MESSI AWEKA REKODI COPA AMERICA Lionel Messi ameweka Rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote katika kikosi cha Argentina baada ya kufunga goli katika mechi ya robo fainali michuanoo ya Copa America dhidi ya Marekani, Mechi iliyomalizika alfajiri ya Le… Read More

0 comments:

Post a Comment