Sunday, May 15, 2016

BARCELONA WATETEA UBINGWA WAO


Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuifunga Granada kwa jumla ya magoli 3 – 0 magoli yote yakifungwa na Luis Suarez, Barcelona wametwaa ubingwa huo kwa tofauti ya pointi 1 tu na mahasimu wao wakubwa Real Madrid ambao nao pia jana walishuka uwanjani kucheza na Deportivo mchezo ambao ulimalizika kwa Madrid  kushinda magoli 2 – 0 mabao yote yakifungwa na Christiano Ronaldo.

Licha ya kuisaidia timu yake kutwaa ubingwa huo Luis Suarez pia amemaliza msimu wa ligi akiwa kinara wa upachikaji wa magoli, akiwa na jumla ya magoli 40 akimuacha CR7 kwa tofauti ya magoli 5.

Related Posts:

  • ACACIA KUSITISHA UDHAMINI NA STAND UNITED KAMPUNI ya ACACIA inayoidhamini timu ya Stand United ya mkoani Shinyanga imesema itaondoa udhamini wake na klabu ya Stand kama Stand itaendeshwa kama kampuni. Taarifa hizo zimekuja mara baada ya Stand kutangaza kuwa kwa … Read More
  • TWITE NA BOSSOU WAANZA RASMI MAZOEZI Yanga wapo katika maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wao wa hatua ya mtoano kombe la shirikisho barani Africa dhidi ya Sagrada Esperanca ya Nchini Angola, wakati kikosi cha Yanga kikijiweka fiti kuukabili mchezo huo,… Read More
  • AMIS TAMBWE AMWOMBEA MABAYA KIIZA MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Dar Young Africans Amis Tambwe, amemaliza mchezo wa jana dhidi ya Ndanda FC bila ya kufunga goli, Tambwe anayeongoza katika orodha ya wafungaji bora katika ligi kuu Tanzania bara msim… Read More
  • WAREMBO 24 WA MASUPASTAA 24 KUSHUHUDIA EURO 2016 UEFA Euro 2016 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi hivi karibuni, na timu zote shiriki zimeshatangaza vikosi vyao vya wachezaji 23 watakaochuana kufukuzia kombe  hilo ambalo kwa mwaka huu mashindano hayo yatafanyika nc… Read More
  • KIBARUA CHA ROBERTO MARTINEZ CHAOTA NYASI Akiwa ameshinda mechi moja tu kati ya 10 walizocheza hivi karibuni, huku wakiruhusu kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa Sunderland Jumatano iliyopita, hitaji la wapenzi wa Goodison Park kuona kocha huyo anatimuliwa lilizidi … Read More

0 comments:

Post a Comment