Thursday, May 12, 2016

KIBARUA CHA ROBERTO MARTINEZ CHAOTA NYASI



Akiwa ameshinda mechi moja tu kati ya 10 walizocheza hivi karibuni, huku wakiruhusu kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa Sunderland Jumatano iliyopita, hitaji la wapenzi wa Goodison Park kuona kocha huyo anatimuliwa lilizidi kuwa kubwa. 
Roberto Martinez hakuonekana katika mazoezi na timu hiyo Alhamisi hii asubuhi, huku Everton wakisubiriwa kutoa tamko rasmi kuhusu kocha huyo. Vyombo vikubwa vya habari vikiwemo BBC Sports na Sky Sports vimesharipoti kuondoka kwa Martinez klabuni hapo kabla Everton wenyewe hawajatoa tamko rasmi.
Everton wanashika nafasi ya 12 katika msimamo wa ligi kuu nchini Uingereza huku kukionekana uwezekano mkubwa wa timu hiyo kushuka zaidi ya hapo ilipo hadi kufikia nafasi ya 16 endapo matokeo ya mchezo wao wa mwisho katika ligi yatakuwa mabaya.

Related Posts:

  • YAYA TOURE ATUPWA NJE YA KIKOSI CHA MAN CITY Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amemwacha nje kiungo wa kati wa timu hiyo yaya Toure katika kikosi chake cha kombe la vilabu bingwa Ulaya mwaka 2016-17. City haikuweza kuweka zaidi ya wachezaji 17 wa kigeni katika kik… Read More
  • Rasmi:Samir Nasri Atua Sevilla Manchester City imetangaza kuwa Samir Nasri amejiunga na klabu ya Sevilla kwa Mkopo. Endelea Kuungana Na Soka24 kwa habari za papo kwa papo za Soka kote Ulimwenguni............. ================== Stori Kubwa Zinazotikisa… Read More
  • Rasmi: Torino Yamnasa Joe Hart Mlinda Mlango namba moja wa Uingereza Joe Hart amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Klabu ya Torino inayoshiriki ligi kuu nchini Italia kwa mkopo akitokea Manchester City. Hart alijikuta akiwa chaguo la pili la kocha Pep … Read More
  • MOURINHO AWATAJA WALIOICHOMESHA UNITED DHIDI YA MAN CITY Kocha asiyeisha Mbwembwe, maneno mengi na visingizio lukuki pale anapofanya vibaya, Jose Mourinho, kwa mara nyingine tena ameibuka na kuwanyooshea vidole baadhi ya wachezaji katika kikosi chake kilichocheza jana na Man City … Read More
  • USIPITWE NA HAYA MAMBO MUHIMU USAJILI LIGI KUU UINGEREZA 2016-17 Klabu za Ligi ya Premia zilitumia zaidi ya £155m siku ya mwisho ya kuhama kwa wachezaji kipindi cha majira ya joto na kufikisha jumla ya pesa zilizotumiwa hadi rekodi mpya ya £1.165bn. Klabu zilikuwa tayari zimetumia j… Read More

0 comments:

Post a Comment