Wednesday, November 9, 2016

MCHEZO WA YANGA NA RUVU SHOOTINGI WASOGEZWA MBELE SIKU MOJA


Wakati ligi kuu ikiendelea leo jumatano, mchezo mmoja kati ya Yanga na Ruvu Shooting umesogezwa mbele hadi kesho alhamisi Kutokana na kuchelewa kuwasili kwa timu ya Ruvu katika kituo cha Dar es salaam ikitokea mkoani Kagera ilipokuwa imecheza mchezo wake wa raundi ya 14 dhidi ya wenyeji wao Kagera sugar.

Michezo mingine miwili inaendelea kama ilivyopangwa siku ya leo, Tanzania Prisons itaikaribisha Simba huko Mbeya wakati huohuo huko Shinyanga wenyeji Mwadui wataikaribisha Azam ya Dar es salaam.

Related Posts:

  • YANGA WAKABIDHIWA RASMI KOMBE LAO KLABU Ya Yanga imekabidhiwa kombe lao jioni ya leo katika uwanja wa taifa mara tu baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Ndanda FC, mchezo ambao umemalizika kwa sare ya 2 - 2. Ndanda FC ndio walikuwa wa kwanza kupata… Read More
  • NDANDA FC WAPANIA KUHARIBU SHEREHE YA YANGA Msemaji wa klabu ya Ndanda FC Idrisa Bandari amesema watahakikisha wanaifunga Yanga na kuharibu Sherehe yao ya kukabidhiwa kombe leo katika mchezo utakaopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga wanaingia katika mc… Read More
  • SIMBA SC WAIDUNGUA MTIBWA SUGAR NYUMBANI KWAO SIMBA ilishuka dimbani hivi leo kucheza na Mtibwa Sugar katika mchezo wao wa 29 wa ligi kuu Tanzania bara,Mchezo uliopigwa mjini Morogoro. Mchezo huo umemalizika kwa Simba SC kushinda kwa goli 1 - 0 goli lililofungwa na… Read More
  • TFF YAZIKUMBUSHA TENA KLABU ZA LIGI KUU 2016/17 Kwa mara nyingine, Bodi ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka (TFF) imezikumbusha klabu zitakazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2016/17 kuwa mchakato wa wa utengenezaji kanuni umeanza tangu Mei 5, 2016. Bodi ya Ligi… Read More
  • AZAM FC YAICHAPA AFRICAN SPORTS Klabu Bingwa Afrika Mashariki na kati Azam FC ilikuwa ugenini jijini Tanga kupambana na African Sports katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom. Azam FC wamefanikiwa kuibuka na ushindi katika mchezo h… Read More

0 comments:

Post a Comment