Sunday, May 15, 2016

SIMBA SC WAIDUNGUA MTIBWA SUGAR NYUMBANI KWAO


SIMBA ilishuka dimbani hivi leo kucheza na Mtibwa Sugar katika mchezo wao wa 29 wa ligi kuu Tanzania bara,Mchezo uliopigwa mjini Morogoro.
Mchezo huo umemalizika kwa Simba SC kushinda kwa goli 1 - 0 goli lililofungwa na Abdi Banda dakika ya 60 ya mchezo.
Simba sasa inafikisha pointi 62 katika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi baada ya Azam FC nao kushinda katika mchezo wao dhidi ya African Sports.

Related Posts:

  • KUMBE HUYU NDO ALIYEIFUNGISHA MAN UTD DHIDI YA WESH HAM Manchester United ilishindwa kupata ushindi waliokuwa wanauhitaji ili wajihakikishie nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu nchi Uingereza baada ya kukubali kipigo cha 3 – 2 kutoka kwa wagonga nyundo wa West Ham, kufua… Read More
  • WAREMBO 24 WA MASUPASTAA 24 KUSHUHUDIA EURO 2016 UEFA Euro 2016 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi hivi karibuni, na timu zote shiriki zimeshatangaza vikosi vyao vya wachezaji 23 watakaochuana kufukuzia kombe  hilo ambalo kwa mwaka huu mashindano hayo yatafanyika nc… Read More
  • JUVENTUS YAISHUSHIA KIPIGO KIKALI SAMPDORIA Mabingwa wa ligi kuu nchini Italia Juventus, jana wametoa kipigo kikali kwa timu ya Sampdoria kwa kuichapa magoli 5 – 0, Juventus tayari walishakuwa mabingwa hata kabla ya mchezo wao dhidi ya Sampdoria na sasa wamefikish… Read More
  • CAF YATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA KLABU BINGWA AFRICA 2017 Maafisa wa shirikisho la kandanda barani afrika (CAF) wamedokeza kuwa kutakuwa na mabadiliko katika ratiba ya michuano ya klabu bingwa barani na ile ya mashirikisho. Rais wa shirikisho hilo Issa Hayatou amethibitisha hay… Read More
  • WAAMUZI TANZANIA WALA SHAVU CAF Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi wanne kuchezesha mchezo Na. 27 kati ya Ethiopia dhidi ya Ghana kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana 2017 utakaofanyika Uwanja wa Addis Ababa … Read More

0 comments:

Post a Comment