Sunday, May 15, 2016

SIMBA SC WAIDUNGUA MTIBWA SUGAR NYUMBANI KWAO


SIMBA ilishuka dimbani hivi leo kucheza na Mtibwa Sugar katika mchezo wao wa 29 wa ligi kuu Tanzania bara,Mchezo uliopigwa mjini Morogoro.
Mchezo huo umemalizika kwa Simba SC kushinda kwa goli 1 - 0 goli lililofungwa na Abdi Banda dakika ya 60 ya mchezo.
Simba sasa inafikisha pointi 62 katika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi baada ya Azam FC nao kushinda katika mchezo wao dhidi ya African Sports.

Related Posts:

  • WAAMUZI TANZANIA WALA SHAVU CAF Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limewateua waamuzi wanne kuchezesha mchezo Na. 27 kati ya Ethiopia dhidi ya Ghana kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana 2017 utakaofanyika Uwanja wa Addis Ababa … Read More
  • KIBARUA CHA ROBERTO MARTINEZ CHAOTA NYASI Akiwa ameshinda mechi moja tu kati ya 10 walizocheza hivi karibuni, huku wakiruhusu kipigo cha goli 3-0 kutoka kwa Sunderland Jumatano iliyopita, hitaji la wapenzi wa Goodison Park kuona kocha huyo anatimuliwa lilizidi … Read More
  • CAF YATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA KLABU BINGWA AFRICA 2017 Maafisa wa shirikisho la kandanda barani afrika (CAF) wamedokeza kuwa kutakuwa na mabadiliko katika ratiba ya michuano ya klabu bingwa barani na ile ya mashirikisho. Rais wa shirikisho hilo Issa Hayatou amethibitisha hay… Read More
  • WAREMBO 24 WA MASUPASTAA 24 KUSHUHUDIA EURO 2016 UEFA Euro 2016 inatarajiwa kuanza kutimua vumbi hivi karibuni, na timu zote shiriki zimeshatangaza vikosi vyao vya wachezaji 23 watakaochuana kufukuzia kombe  hilo ambalo kwa mwaka huu mashindano hayo yatafanyika nc… Read More
  • AMIS TAMBWE AMWOMBEA MABAYA KIIZA MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Dar Young Africans Amis Tambwe, amemaliza mchezo wa jana dhidi ya Ndanda FC bila ya kufunga goli, Tambwe anayeongoza katika orodha ya wafungaji bora katika ligi kuu Tanzania bara msim… Read More

0 comments:

Post a Comment