Sunday, May 15, 2016

SIMBA SC WAIDUNGUA MTIBWA SUGAR NYUMBANI KWAO


SIMBA ilishuka dimbani hivi leo kucheza na Mtibwa Sugar katika mchezo wao wa 29 wa ligi kuu Tanzania bara,Mchezo uliopigwa mjini Morogoro.
Mchezo huo umemalizika kwa Simba SC kushinda kwa goli 1 - 0 goli lililofungwa na Abdi Banda dakika ya 60 ya mchezo.
Simba sasa inafikisha pointi 62 katika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi baada ya Azam FC nao kushinda katika mchezo wao dhidi ya African Sports.

0 comments:

Post a Comment