Sunday, May 15, 2016

ANGEL DI MARIA AWEKA REKODI MPYA LIGUE 1


Mchezaji wa kimataifa wa Argentina Angel Di Maria amevunja rekodi iliyowekwa na Marvin Martin ya kutoa pasi za magoli (assists) 17 katika msimu wa 2010/11 baada ya ushindi wa magoli 4 – 0 walioupata PSG jana walipocheza na Nantes.

Di Maria amevunja rekodi hiyo kwa kufikisha pasi za magoli (assists) 18 katika msimu uliomalizika hivi punde wa 2015/16.

Katika mchezo wa wao dhidi ya Nantes Di Maria alitoa pasi zilizozaa magoli akimpasia Zlatan Ibrahimovic na Lucas Moura katika ushindi huo wa 4 – 0.

Rekodi iliyovunjwa ya assists 17 iliwekwa na Marvin Martin akiwa na FC Sochaux’s msimu wa 2010/11

Related Posts:

  • YAYA TOURE ASAINI MKATABA NA CAEN YA UFARANSA Ni hatua nzuri katika maisha yake ya soka, akiwa ametumikia klabu ya Aminens kwa miaka mitatu na kufanikiwa kupewa jukumu la unahodha katika kikosi cha vijana U17s, sasa  hivi amepata mkataba wake mkubwa. Ikiwa… Read More
  • ZLATAN IBRAHIMOVIC ATANGAZA RASMI KUONDOKA PSG Paris: Zlatan Ibrahimovic amethibitisha ijumaa hii kuwa ataihama klabu ya Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu wa ligi, lakini Uongozi wa mabingwa hao wa ligi kuu nchini Ufaransa ligue 1 wamesema nyota huyo atarudi… Read More
  • Christiano Ronaldo Kutua PSG France football imetoa habari iliyotikisa zaidi kwa wapenzi wa soka ikimhusisha Star wa Real Madrid Christiano Ronaldo kutua katika klabu ya PSG. Habari kutoka chanzo hicho zinaripoti kuwa Ronaldo amekutana mara 5 na Rai… Read More
  • DI MARIA NA IBRAHIMOVIC WANG'AA WAKATI PSG IKIIADHIBU RENNES VIGOGO wa ligi ya Ufaransa Ligue 1, wameendeleza ubabe wao tena jana kwa kuishushia kichapo kikali cha magoli 4 - 0 timu ya Rennes, mchezo uliopigwa katika dimba linalomilikiwa na Paris Saint-Germain, Parc des Princes… Read More
  • ANGEL DI MARIA AWEKA REKODI MPYA LIGUE 1 Mchezaji wa kimataifa wa Argentina Angel Di Maria amevunja rekodi iliyowekwa na Marvin Martin ya kutoa pasi za magoli (assists) 17 katika msimu wa 2010/11 baada ya ushindi wa magoli 4 – 0 walioupata PSG jana walipocheza … Read More

0 comments:

Post a Comment