France football imetoa habari iliyotikisa zaidi kwa wapenzi wa soka ikimhusisha Star wa Real Madrid Christiano Ronaldo kutua katika klabu ya PSG.
Habari kutoka chanzo hicho zinaripoti kuwa Ronaldo amekutana mara 5 na Rais wa klabu ya PSG Nasser Al-Khelaifi. Habari zaidi zinasema mara ya mwisho kukutana kwa watu hao wawili ilikuwa ni wiki moja iliyopita.
Hii inatoa picha ya wazi kuwa PSG wanamhitaji Ronaldo.
![]() |
Ronaldo na Maria Borges |
Habari zinaeleza kuwa Ronaldo alitumia ndege ya binafsi alipoenda kukutana na Rais huyo wa PSG na alirudi asubuhi ya siku iliyofuata.
0 comments:
Post a Comment