Saturday, May 14, 2016

YAYA TOURE ASAINI MKATABA NA CAEN YA UFARANSA


Ni hatua nzuri katika maisha yake ya soka, akiwa ametumikia klabu ya Aminens kwa miaka mitatu na kufanikiwa kupewa jukumu la unahodha katika kikosi cha vijana U17s, sasa  hivi amepata mkataba wake mkubwa.

Ikiwa inashika nafasi ya 8 katika msimamo wa ligi kuu nchini Ufaransa Ligue 1, Caen wameonyesha uwezo mkubwa katika ligi hiyo.

Baada ya kumuuza N’Golo Kante katika klabu ya Leicester City msimu uliopita, Caen walikuwa mawindoni kusaka kiungo mkabaji ambaye anaweza akakaba na kushambulia kwa wakati mmoja na Yaya Toure ameonekana kufiti katika nafasi hiyo, kutokana kuwa na kiwango kinachoonekana kufanana na cha Kante.

Amepewa jezi namba 6, namba ambayo alikuwa akiivaa pia alipokuwa na klabu ya Amiens, Yaya alitangazwa rasmi na Caen kuwa ni mchezaji wa timu hiyo kwa sasa.

Kiungo huyo mkabaji anafanana jina na midfielder  wa Manchester City Yaya Toure, lakini licha ya kuwa na majina yanayofanana hakuna uwezekano wa kuwachanganya kwa kutokujua yupi ni yupi.

Related Posts:

  • DI MARIA NA IBRAHIMOVIC WANG'AA WAKATI PSG IKIIADHIBU RENNES VIGOGO wa ligi ya Ufaransa Ligue 1, wameendeleza ubabe wao tena jana kwa kuishushia kichapo kikali cha magoli 4 - 0 timu ya Rennes, mchezo uliopigwa katika dimba linalomilikiwa na Paris Saint-Germain, Parc des Princes… Read More
  • ANGEL DI MARIA AWEKA REKODI MPYA LIGUE 1 Mchezaji wa kimataifa wa Argentina Angel Di Maria amevunja rekodi iliyowekwa na Marvin Martin ya kutoa pasi za magoli (assists) 17 katika msimu wa 2010/11 baada ya ushindi wa magoli 4 – 0 walioupata PSG jana walipocheza … Read More
  • Christiano Ronaldo Kutua PSG France football imetoa habari iliyotikisa zaidi kwa wapenzi wa soka ikimhusisha Star wa Real Madrid Christiano Ronaldo kutua katika klabu ya PSG. Habari kutoka chanzo hicho zinaripoti kuwa Ronaldo amekutana mara 5 na Rai… Read More
  • YAYA TOURE ASAINI MKATABA NA CAEN YA UFARANSA Ni hatua nzuri katika maisha yake ya soka, akiwa ametumikia klabu ya Aminens kwa miaka mitatu na kufanikiwa kupewa jukumu la unahodha katika kikosi cha vijana U17s, sasa  hivi amepata mkataba wake mkubwa. Ikiwa… Read More
  • ZLATAN IBRAHIMOVIC ATANGAZA RASMI KUONDOKA PSG Paris: Zlatan Ibrahimovic amethibitisha ijumaa hii kuwa ataihama klabu ya Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu wa ligi, lakini Uongozi wa mabingwa hao wa ligi kuu nchini Ufaransa ligue 1 wamesema nyota huyo atarudi… Read More

0 comments:

Post a Comment