Wednesday, May 4, 2016

AZAM FC YAZIDI KUISAFISHIA NJIA YANGA


MCHEZO Wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa katika uwanja wa Chamanzi Complex leo, kati ya Azam FC na JKT Ruvu umemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya 2 - 2.

Matokeo hayo ya Sare yameifanya Klabu ya Azam FC kupoteza matumaini ya kuwania ubingwa wa ligi kuu Msimu huu kwani hadi sasa tofauti ya pointi kati yao na Yanga inakuwa ni pointi 8, huku wakiwa wamebakisha mechi 3 katika ligi. 

Related Posts:

  • Yanga Yatinga Fainali Kombe La Shirikisho Coastal Union imepoteza mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga baada ya washabiki wake kuwa chanzo cha Mwamuzi kuvunja mchezo huo uliofanyika Aprili 24, 2016 kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga. Uam… Read More
  • Huyu Ndiye Afisa Habari Mpya TFF Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Alfred Lucas kuwa Afisa Habari na Mawasiliano mpya wa shirikisho kuanzaia leo Aprili 27, 2016. Alfred anachukua nafasi ya Baraka Kizuguto aliyehamishiwa katika Kuruge… Read More
  • Farid Mussa Aanza Majaribio La Liga WINGA machachari wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Farid Mussa, ameanza majaribio rasmi nchini Hispania akiwa na kikosi cha timu ya CD Tenerife inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini humo. Farid,… Read More
  • Yanga Kufanya Uchaguzi Tarehe Hii Hapa Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo imetangaza Juni 05, 2016 kuwa siku ya Uchaguzi Mkuu wa viongozi ndani ya klabu ya Young Africans SC ya jijini Dar es salaam. Akiongea na waandishi … Read More
  • TAIFA STARS KUCHEZA NA HARAMBEE STARS Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa na timu ya Taifa Kenya (Harambee Stars) Mei 29, 2016 jijini Nairobi. Mche… Read More

0 comments:

Post a Comment