Wednesday, May 4, 2016

AZAM FC YAZIDI KUISAFISHIA NJIA YANGA


MCHEZO Wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa katika uwanja wa Chamanzi Complex leo, kati ya Azam FC na JKT Ruvu umemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya 2 - 2.

Matokeo hayo ya Sare yameifanya Klabu ya Azam FC kupoteza matumaini ya kuwania ubingwa wa ligi kuu Msimu huu kwani hadi sasa tofauti ya pointi kati yao na Yanga inakuwa ni pointi 8, huku wakiwa wamebakisha mechi 3 katika ligi. 

Related Posts:

  • Kapombe Akimbizwa Sauzi Kwa MatibabuBEKI kisiki wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Shomari Kapombe, ameondoka nchini leo saa 9.35 Alasiri akielekea Afrika Kusini kwa ajili ya kutibiwa kifua ambacho kinamsumbua. Kapombe aliyekosa mechi mbili… Read More
  • Mnyama Afanyiwa Ujangili TaifaTimu ya soka ya Simba SC imejikuta nje ya michuano ya FA baada ya kupokea kichapo toka kwa timu ya Coastal Union. Katika mchezo huo wa vuta nikuvute Coasta ilikuwa yakwanza kutikisa nyavu za Simba baada ya mchezaji Yusuf kupi… Read More
  • "Sisi Mashabiki Wa Yanga Timu Hatuielewi Kwa Sasa" Mashabiki wa Yanga wameshindwa kuvumilia kinachoendelea kwa sasa katika timu yao hali iliyochangiwa pia na sare ya Juzi dhidi ya Al Ahly. Hali hiyo imepelekea Mashabiki hao kumfuata Kocha Charles Boniface Mkwasa anaeitumik… Read More
  • Hall: Tulishindwa Kutimiza Majukumu Yetu Uwanjani UKIACHILIA mbali malalamiko ya waamuzi, Kocha Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Stewart Hall, amesema kuwa wameporwa ushindi na Ndanda jana baada ya wachezaji kushindwa kutimiza ipasavyo majukumu ya… Read More
  • Joseph Kimwaga Ajutia Kutua Msimbazi kimwaga Kushoto akishangilia goli Sraika wa Simba, Joseph Kimwaga ametamka kuwa kati ya vitu ambavyo anajutia kwenye maisha yake ya soka, basi ni kutua kuichezea timu hiyo.Mshambuliaji huyo alitua kuichezea Simba kwen… Read More

0 comments:

Post a Comment