Timu ya soka ya Simba SC imejikuta nje ya michuano ya FA baada ya kupokea kichapo toka kwa timu ya Coastal Union.
Katika mchezo huo wa vuta nikuvute Coasta ilikuwa yakwanza kutikisa nyavu za Simba baada ya mchezaji Yusuf kupiga mpira wa adhabu ambao ulitinga moja kwamoja nyavuni na kumwacha mlinda mlango wa Simba akiwa ameshika kiuno pasipo kujua lakufanya.
Mpaka timu zinakwenda mapumziko, Coastal ilikuwa ikiongoza kwa Goli 1 - 0
Kipindi chapili kilianza kwa kasi ambapo timu ya soka ya Simba ilifanya mashambulizi ya mara kwamara langoni mwa coastal ambapo katika dakika ya 49 mshambuliaji Kiiza alifanikiwa kusawazisha goli na kufanya ubao wa matangazo usomeke 1-1
Mnamo dakika ya 82 mcezaji wa Coastal union alifanyiwa madhambi na mlinzi wa Simba jambo lililopelekea Coastal kupata penati na kupachika bao lapili na la ushindi.
Kwamatokeo haya, Simba inatupwa nje ya michuano ya FA na endapo haitachukua ubingwa wa bara haitashiriki kwa mara nyingine katika michuano ya kimataifa.
Monday, April 11, 2016
Mnyama Afanyiwa Ujangili Taifa
Related Posts:
ROY HODGSON AJIUZULU TIMU YA TAIFA UINGEREZAKocha wa England Roy Hodgson amejiuzulu nafasi yake kufuatia kutolea kwa timu yake katika michuano ya Euro walipokubali kipigo cha goli 2 - 1 kutoka kwa Iceland. Hodgson 68 amekuwa kocha wa Uingereza kwa muda wa miaka minn… Read More
MOURINHO AKERWA NA MAAMUZI YA ED WOODWARDKocha mpya wa Man U Jose Mourinho amekerwa na kitendo cha bosi wake Ed Woodward kushindwa kukamilisha dili la Renato Sanches. United tayari imeshakamilisha usajili wa mlinzi kutoka Villarreal, Eric Bailly kwa uhamisho wa p… Read More
MESSI ABWAGA MANYANGA ARGENTINALionel Messi amesema anaacha kuitumikia timu yake ya taifa wakati huu akiwa na umri wa miaka 29 kufuatia kupoteza katika mchezo wa fainali Copa America dhidi ya Chile. Messi amefikia maamuzi hayo baada ya Argentina kukubal… Read More
PICHA: HIVI NDIVYO CHILE WALIVYOBEBA NDOO COPA AMERICA 2016 FAINALI COPA AMERICA 2016 Argentina 0 - 0 Chile Penati 2 - 4 Bonyeza Hapa Ku-Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook … Read More
MATOKEO COPA FAINALI COPA AMERICA 2016MATOKEO COPA FAINALI COPA AMERICA 2016 Argentina 0 - 0 Chile Penati 2 - 4 … Read More
0 comments:
Post a Comment