Sunday, June 12, 2016

VIDEO: MAAJABU ALIYOYAFANYA MESSI NDANI YA DAKIKA 30 COPA AMERICA

Lionel Messi akitokea Benchi alifanikiwa kufunga magoli matatu (Hat-trick) ndani ya Dakika 30, wakati Argentina ikishinda jumla ya magoli 5 - 0 dhidi ya Panama na kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali michuano ya Copa America Contenario inayofanyika huko nchini Marekani.

Tazama Video Hapa Chini
==============

==============

0 comments:

Post a Comment