Wednesday, April 20, 2016

Kikosi Cha Yanga Kitakachoanza Dhidi ya Al Ahly Leo hii

KLABU BINGWA AFRIKA || 2015 ~ 2016.
AL AHLY Vs YOUNG AFRICAN (YANGA)
Uwanja :- Borg El Arab.

KIKOSI CHA YANGA LEO.
1. Deo Bonaventura Munishi
2. Juma Abdul Japhary.
3.Oscar Fanuel Joshua.
4.Vicent Bossou.
5.Nadir Ally Haroub.
6.Thaban Michael Kamusoko.
7.Saimon Happygod Msuva.
8.Haruna Hakizimana Niyonzima.
9.Amiss Jocelyn Tambwe.
10.Donald Dombo Ngoma.
11.Deus David Kaseke.
BENCHI -
Ally Mustafa Mtinge
Kelvin Patrick Yondani
Paul Nonga
Malimi Marcel Busungu
Mbuyu Twite
Issoufou Aboubakar Garba.
Salum Telela
Mchezo wa kwanza:-
Young African 1 - Al Ahly 1.

MUNGU IBARIKI YANGA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
KILA LA HERI WAWAKILISHI PEKEE WA KIMATAIFA KUTOKA TANZANIA.

Related Posts:

  • HII NDIO KUFURU WALIYOIFANYA YANGA KWA MZAMBIAYanga imemsajili kiungo mshambuliaji Obrey chirwa raia wa Zambia akitokea klabu ya FC Platinum ya nchini Zimbabwe. Hizi ndio pesa atakazozivuna mchezaji huyo katika klabu ya Yanga. Obrey atakusanya jumla ya Dola 168,000 a… Read More
  • KIBARUA CHA LAURENT BLANC CHAOTA NYASI PSGKlabu ya PSG imemtimua kocha wake Laurent Blanc, kwa mujibu wa jarida la la L'Equipe la nchini Ufaransa. Taarifa za kutimuliwa kwa kocha huyo bado hazijawa rasmi kwani mpaka hivi sasa klabu ya PSG haijatoa tamko rasmi laki… Read More
  • SAKATA LA KESSY YANGA HATIMA YAKE LEOSuala la beki wa Kulia wa Yanga, Hassan Ramadhan "Kessy" kucheza mchezo wa kombe la shirikisho dhidi ya TP Mazembe  itafahamika leo baada ya kamati ya utendaji Simba kukutana. Yanga iliwaandikia Simba barua kutaka kuj… Read More
  • JKT OLJORO YAMIMINIWA MAMILIONITimu ya maafande wa JKT Oljoro ya jijini Arusha inayojiandaa na michuano ya ligi daraja la pili (SDL) msimu wa 2016/17 imekabidhiwa vifaa vya michezo vyenye thamani ya Shi. Milioni 3.4 kutoka kwa kampuni ya Sanlam. Vifaa h… Read More
  • KAPOMBE,WAWA WATUA SAUZI KWA UCHUNGUZINYOTA wawili wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Shomari Kapombe na Pascal Wawa hivi sasa wapo jijini Cape Town, Afrika Kusini kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa afya zao. Mabeki hao waliondoka nchini tok… Read More

0 comments:

Post a Comment