Timu ya soka ya Yanga imeyaaga mashindano ya klabu bingwa barani Afrika baada ya kukubali kichapo cha magoli 2-1 toka kwa Al Ahly na kufanya jumla ya magoli ya Al Ahly kufikia 3 na jumla ya magoli ya Yanga kufikia 2.
Yanga sasa itashuka kucheza katika michuano ya shirikisho na timu itakayo kutana nayo bado haijafahamika mpaka droo ifanyike leo hii.
Thursday, April 21, 2016
YANGA YATOLEWA KLABU BINGWA AFRIKA
Related Posts:
Zijue Rekodi Za Azam FC Vs Mtibwa Sugar KESHO ndio kesho ndani ya Uwanja wa Azam Complex, utashuhudiwa mchezo mkali wa hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) baina ya wenyeji Azam FC na Mtibwa Sugar, utakaoanza saa 10.30 j… Read More
kikosi cha yanga dhidi ya simba leo hiki hapa 1. Deogratius Munishi 2. Juma Abdul 3. Mwinyi Haji 4. Vicent Andrew 5. Kelvin Yondani 6. Justine Zulu 7. Saimoni Msuva 8. Thabani Kamusoko 9. Amisi Tambwe 10. Obrey Chirwa 11. Haruna Ni… Read More
Simba 2 - 1 Yanga, kichuya na Mavugo waleta furaha msimbazi Magoli mawili ya Mavugo 67' na Kichuya 81' yameiwezesha timu ya simba kuibuka na ushindi wa goli 2 - 1 dhidi ya watani wao wajadi simba. Yanga ndio walikuwa wa kwanza kupata goli 5' ya mchezo kufuatia uzembe wa beki wa si… Read More
Ruvu Shooting 0 - 2 Yanga SC , goli la Emanuel Marthin laacha gumzo Taifa Yanga waiadhibu Ruvu Shooting 2 - 1 uwanja wa Taifa. kikosi cha yanga kikitoka kujeruhiwa na mnyama Simba leo katika dimba la uwanja wa Taifa jiji Dar es salaam wamekata ngebe za msemaji machachari wa Ruvu Masao Bwire. M… Read More
kikosi cha simba dhidi ya yanga leo hiki hapa Daniel Agyei Besala Janvier Bkungu Mohammed.Hussein Novati Lufunga Abdi Banda James Kotei Yassin Muzamiru Mohammed Ibrahim Ibrahim Ajib Laudit Mavugo Juma Liuzio #Akiba Peter Manyika H… Read More
0 comments:
Post a Comment