Kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (Caf) zinaeleza kuwa timu ambazo zitatolewa katika Raundi ya Pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika zitashuka katika Kombe la Shirikisho ambapo huko zitakutana na timu nane zilizosonga mbele ambapo zitacheza mechi za mtoano za nyumbani na ugenini kisha zitakazofuzu zitaingia hatua ya makundi.
Baada ya Yanga kutolewa, sasa itakutana na Sagrada Esperança baada ya droo kupangwa jana huku Yanga ikitakiwa kuanzia nyumbani wiki ya Mei 6-8, mwaka huu na marudio ni Mei 17-18, 2016.
Thursday, April 21, 2016
Yanga Kukutana Na Timu Hii Kutoka Angola
Related Posts:
Simba yajifua Zanzibar kuelekea february 25 Timu ya Simba jana imeondoka kwenda visiwani Zanzibar kujiandaa na mchezo wake wa February 25 dhidi ya watani zao wa jadi Yanga. Simba ambayo ndio inayoongoza ligi kwa kujikusanyia point 51 katika michezo 22, watani z… Read More
simba kukalia kiti cha uongoz wa ligi leo? ratiba kamili ya VPL Ligi kuu tanzania bara kuendela leo katika viwanja vinne, timu nane kumenyena kuwania taji la ligi kuu Tanzania bara (VPL). Michezo ya leo itazikutanisha timu ambazo zinataka kujinasua kutoka mkiani na timu ambazo zin… Read More
Simba yarudi kileleni, yaitumia salamu yanga february 25 Mpira ulianza kwa kasi na 11’ alimanusura Benjamin Asukile aifungie Prisons goli pale kichwa chake kilipoenda pembeni kidogo mwa lango la simba baada ya kazi nzuri ya Mohammed Samatta. Juma Luzio mchezaji wa Zesco Un… Read More
Kaseja mchezaji bora ligi kuu Tanzania Bara mwezi January … Read More
Ligi Daraja la kwanza Tanzania bara kuendelea leo february 11kwa michezo kadhaa kwa makundi miwili tofauti. Ligi Daraja la kwanza Tanzania bara kuendelea leo kwa michezo kadhaa kwa makundi miwili tofauti. KUNDI B: Mkoani Ruvuma Mlale JKT vs Kurugenzi FC Mkoani Njombe Njombe Mji vs Coastal Union KUNDI C: Mkoani… Read More
0 comments:
Post a Comment