Kanuni za Shirikisho la Soka la Afrika (Caf) zinaeleza kuwa timu ambazo zitatolewa katika Raundi ya Pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika zitashuka katika Kombe la Shirikisho ambapo huko zitakutana na timu nane zilizosonga mbele ambapo zitacheza mechi za mtoano za nyumbani na ugenini kisha zitakazofuzu zitaingia hatua ya makundi.
Baada ya Yanga kutolewa, sasa itakutana na Sagrada Esperança baada ya droo kupangwa jana huku Yanga ikitakiwa kuanzia nyumbani wiki ya Mei 6-8, mwaka huu na marudio ni Mei 17-18, 2016.
Thursday, April 21, 2016
Yanga Kukutana Na Timu Hii Kutoka Angola
Related Posts:
Ratiba Ya UEFA Champions League Nusu Fainali Full Champions League semi-final draw: Manchester City (ENG) vs Real Madrid (ESP) Atletico Madrid (ESP) vs Bayern Munich (GER) Champions League Final: Winner of semi-final 1 vs Winner of semi-final 2 … Read More
Legendari wa Chelsea Didier Drogba Kulishitaki Gazeti La Daily Mail. Didier Drogba anaecheza katika ligi ya MLS (Major League Soccer) akiitumikia klabu ya Montreaal atalifungulia mashitaka gazeti la Daily Mail kufuatia tuhuma ambazo gazeti hilo limezitoa zikimuhusisha Nyota huyo wa Ivory Coas… Read More
Wachezaji 5 Matajiri Zaidi Duniani Kama ulikuwa hujui mpira wa miguu ni moja kati ya michezo inayopendwa zaidi duniani. Inaweza ikakushangaza lakini ukweli ndio uko hivyo. Na kutokana na ukweli huo, wachezaji bora wanapata pesa nyingi sana, kama ulishawahi k… Read More
Guardiola Azima Ndoto Za Christiano Ronaldo Nusu Fainali UEFA kocha huyo wa Bayern Muchen amemwomba msamaha mshambuliaji huyo wa Ureno na Klabu ya Real Madrid Christiano Ronaldo kufuatia kile alichokiita Guardiola kuzima ndoto za Ronaldo nusu Fainali ya UEFA Champions. Bayern ili… Read More
Liverpool Warudia Maajabu Waliyoyafanya Mwaka 2005 Ilipocheza Na AC Milan Majogoo wa Anfield jana walikuwa kibaruani kuikabili klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani katika mchezo wa pili wa robo fainali wa kombe la Europa League. Mechi hiyo iliyokuwa ya kasi ilishuhudia Liverpool ikichapwa go… Read More
0 comments:
Post a Comment