Wednesday, December 28, 2016

BREAKING NEWS: AZAM FC YASIMAMISHA BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI

Klabu ya Azam FC imesimamisha uongozi wa benchi lake lote la Ufundi akiwemo kocha Mkuu Zeben Hernandez.
Kocha wa Muda atatangazwa hivi punde.

Habari zaidi itakujia hivi punde..............................

Related Posts:

  • OMOG ASHUSHA PRESHA ZA WANAMSIMBAZI Kocha wa klabu ya Simba, Mcameroon, Joseph Omog amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa watulivu kufuatia sare ya bila kufungana waliyoipata dhidi ya JKT Ruvu. Omog amesema hayo ni matokeo ya kawaida ya kimchezo hivyo mash… Read More
  • AZAM FC YANASA WENGINE WAWILI KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, leo jioni imeingia mkataba na mabeki wawili, Mghana Daniel Amoah na Mzimbabwe, Bruce Kangwa, kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo msimu ujao. Wawili hao kila mmoja amesaini m… Read More
  • SIMBA YABADILI GIA ANGANI Sare ya bila kufunguna waliyoipata Simba dhidi ya JKT Ruvu imemfanya kocha wa klabu hiyo, Joseph Omog kubadili mfumo wa uchezaji na kusisitiza umakini kwa wachezaji katika mechi zijazo. Katika mchezo huo dhidi ya JKT Ruvu… Read More
  • SIMBA WAIPANIA NDANDA FC Katibu mkuu wa Simba, Patrick kahemela ameapa kurudisha furaha na kuachana na machungu ya kutoka vichwa chini katika mechi zao za ligi kuu. Kiongozi huyo amesema Ndanda FC ndiyo itakuwa ya mfano kwani imepania kuwapa raha… Read More
  • AZAM MEDIA YAZIMWAGIA VILABU VYA VPL MAMILION Kampuni ya Azam Media imeongeza mkataba wa kurusha mechi za ligi kuu Vodacom msimu ujao 2016/17. Mkataba huo umesainiwa jana kati ya TFF na klabu ya bodi ya Ligi na Uongozi wa Azam, huku mkataba huo ukiwa umeboreshwa kido… Read More

0 comments:

Post a Comment