Wednesday, August 31, 2016

Rasmi: Wilfred Bony Atua Stoke City

Klabu ya Stoke City imekamilisha uhamisho wa Wilfred Bony kwa mkopo akitokea klabu ya Manchester City.


Bony aliyefeli kumshawishi kocha mpya wa City, Mhispania Pep Guardiola amefanikiwa kufunga magoli 11 katika michezo 46 aliyocheza akiwa na Manchester City.
=====================
Stori Kubwa Zinazotikisa Anga La Michezo Hivi Sasa;

Arsenal Yakamilisha Usajili Wa Shkodran Mustafi

"Yanga Timu Bora Zaidi Tanzania" Pluijm

Omog Ashusha Presha Za Wana Msimbazi


Aubameyang Aitamani Real Madrid


Simba Yabadili Gia Angani


Ungana na Soka24 Facebook, Bonyeza  HAPA

Related Posts:

  • SIMBA WAZIDI KUWEKA NGUMU KWA YANGA KUHUSU KESSYKlabu ya Simba imesema kama si Yanga kuwapatia fedha hawataandika barua itakayomuidhinisha Hassan Ramadhan Kessy kucheza michuano ya Kombe la shirikisho CAF CC Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa kamati ya Usajili wa Simba, Za… Read More
  • SHOMARI KAPOMBE KURUDI MSIMBAZIKlabu ya Simba imesema inapambana kuhakikisha wanamrudisha kikosini beki wao Shomari Kapombe anayeitumikia klabu ya Azam FC kwa sasa. Kapombe ambaye hivi karibuni ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu uliopita ligi kuu Vo… Read More
  • SIMBA YANASA KIFAA KINGINE KIPYAKlabu ya Simba imempa mkataba wa miaka miwili kiungo Mohamed Ibrahimu tayari kwa kuitumikia klabu hiyo msimu ujao. Rais wa Simba ameyathibitisha hayo kwa kusema usajili wa Ibrahimu utasaidia kuimarisha timu yao ambayo ina … Read More
  • MIPANGO YA JULIO KATIKA USAJILIKocha wa Mwadui FC, Jamhuri Kiwelu "Julio" amesema yeye hana mpango wa kusajili wachezaji wa kigeni katika kikosi chake. Julio amesema lengo lake ni kutoa fursa kwa wachezaji wa ndani waweze kuonyesha uwezo wao ili waje ku… Read More
  • TETESI ZA USAJILI BARANI ULAYA LEO JUMATANO JUNI 22,2016Tetesi Za Usajili Barani Ulaya  Bale Kupewa Mkataba Mrefu Madrid Mchezaji wa kimataifa wa Wales, Gareth Bale anatarajiwa kupewa mkataba mpya utakaomuweka Santiago Bernabeu Kwa zaidi ya miaka 6. Barcelona Yamuwinda Ga… Read More

0 comments:

Post a Comment