Monday, January 30, 2017

Kipa Kagera Sugar Afariki Dunia

Mlinda mlango wa Kagera Suga, David Burhani Amefariki dunia katika hospitali ya Bugando jijini Mwanza.

Taarifa kutoka kwa viongozi wa Kagera Sugar zinasema marehemu alikuwa akisumbuliwa na Malaria.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa Burhani Aliumwa ghafla wakiwa njian kuelekea Singida kwenye mechi ya Azam Federation Cup. Na waliporudi Kagera hali yake ikazidi kuwa mbaya na hivyo kukimbizwa Bugando kabla ya umauti kumkuta leo hii


SOKA24 INAUNGANA NA WADAU WOTE WA SOKA WALIOGUSWA NA MSIBA HUU
MUNGU AILAZE ROHO YA BURHANI MAHALA PEMA PEPONI AMEEN!!!

Related Posts:

  • AZAM MEDIA YAZIMWAGIA VILABU VYA VPL MAMILION Kampuni ya Azam Media imeongeza mkataba wa kurusha mechi za ligi kuu Vodacom msimu ujao 2016/17. Mkataba huo umesainiwa jana kati ya TFF na klabu ya bodi ya Ligi na Uongozi wa Azam, huku mkataba huo ukiwa umeboreshwa kido… Read More
  • HATIMAYE TFF YAMKALISHA JERRY MURO Hatimaye Ofisa Habari wa Yanga Jerry Muro, amekubali kutumikia adhabu iliyotolewa na TFF. Awali Muro alipinga adhabu hiyo kwa kutoa kauli nyingi zikionyesha kuwa TFF walikiuka taratibu za kutoa adhabu hiyo. Licha ya kauli… Read More
  • RASMI: PAUL NONGA AONDOKA YANGA Aliyekuwa mchezaji wa Yanga Paul Nonga ameondoka klabuni hapo na kujiunga na klabu ya Mwadui baada ya muda mrefu kuuomba uongozi wa klabu hiyo imuuze kwenye klabu ambayo atapata nafasi ya kucheza. Paul Nonga akisaini mkata… Read More
  • KAULI ZA WACHEZAJI YANGA KUELEKEA MECHI DHIDI YA MEDEAMA Mabingwa wa Ligi kuu Vodacom na Wawakilishi pekee Afrika Mashariki katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika klabu ya Yanga inatarajiwa kushuka dimbani kesho kumenyana na Medeama SC kutoka nchini Ghana mchezo wa tatu hat… Read More
  • MEDEAMA KUTUA DAR KESHO Wapinzani wa Yanga katika mchezo ujao wa Kombe la Shirikisho Afrika, Medeama ya Ghana wanatarajiwa kutua nchini kesho tayari kwa mchezo wa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga katika msimamo wa Kund… Read More

0 comments:

Post a Comment