Sunday, January 29, 2017

Yanga Yaitwanga Mwadui, Yapaa Kileleni

LIGI KUU TANZANIA BARA
MZUNGUKO WA PILI
RAUNDI YA 20

Yanga 2 - 0 Mwadui
Chirwa 69', 83'



Yanga Sasa inapanda katika nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara kwa kujikusanyia jumla ya alama 46 wakitofautiana alama moja tu na mahasimu wao Simba wanaoshika nafasi ya pili wakiwa na alama 45 baada ya kucheza michezo 20.


Related Posts:

  • Matokeo Ligi Kuu Bara Matokeo Ligi Kuu Tanzania Bara Azam FC 2 - 0 Majimaji Young Africans 2 - 1 Mgambo JKT Simba SC 0 - 1 Toto Africans Young Africans 1 -… Read More
  • Yanga Yaitwanga Mwadui, Yapaa Kileleni LIGI KUU TANZANIA BARA MZUNGUKO WA PILI RAUNDI YA 20 Yanga 2 - 0 Mwadui Chirwa 69', 83' Yanga Sasa inapanda katika nafasi ya kwanza katika msimamo wa ligi kuu Tanzania bara kwa kujikusanyia jumla ya alama 46 wakit… Read More
  • LIVE KUTOKA TAIFA - FUATILIA LIVE MCHEZO KATI YA SIMBA NA TOTO AFRICANS HALF TIME MATOKEO: SIMBA 0 - 1 TOTO AFRICANS Mfungaji: Wazir Junior  ======== KIPINDI CHAPILI KIMEANZA Dakika ya 47: beki wa Simba, Hassan Kessy anapewa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo, Edward Chris… Read More
  • Mnyama Achinjwa Taifa Timu ya soka ya Simba imezidi kupoteza matumaini ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara baada ya kukubali kichapo cha Goli 1 - 0 toka kwa Toto Africans ya Mwanza.Katika mchezo huo ambao wadau wengi wa soka waliip… Read More
  • Simba yarudi kileleni, yaitumia salamu yanga february 25 Mpira ulianza kwa kasi na 11’ alimanusura Benjamin Asukile aifungie Prisons goli pale kichwa chake kilipoenda pembeni kidogo mwa lango la simba baada ya kazi nzuri ya Mohammed Samatta. Juma Luzio mchezaji wa Zesco Un… Read More

0 comments:

Post a Comment