Sunday, April 10, 2016
Barcelona Yapokea Kichapo Dhidi Ya Sociedad
Barcelona imekutana na kipigo cha bao 1-0 ikiwa ugenini dhidi ya Real Sociedad ambayo ilicheza vizuri katika kipindi cha kwanza na kupata bao kupitia Kimel Oiarzabal katika dakika ya 5.
Jitihada za Lionel Messi na Neymar kutaka kusawazisha ziligonga mwamba hadi mpira unamalizika. Matokeo haya yanaiweka Barcelona katika nafasi ile ile ya kwanza ikiwa imetofautiana kwa point tatu tu na Atletico Madrid inayoshika nafasi ya pili huku Real Madrid ikiwa katika nafasi ya Tatu kwa tofauti ya pointi 4 na Barcelona
Ndani ya mechi tatu, imepoteza mbili baada ya kuchapwa na Real Madrid kwa mabao 2-1, ikaamka na kuitwanga Atletico Madrid 2-1 kabla ya kukutana na kipigo cha leo.
Related Posts:
UJUMBE WA WHATSAPP ALOTUMA RONALDO KWA NEYMAR WANASWA Christiano Ronaldo amemtumia ujume Neymar kwa njia ya Whatsapp baada ya Barcelona kushinda La Liga. Superstaa wa Madrid Christiano Ronaldo amemtumia Neymar ujumbe wa pongezi wiki iliyopita akimpongeza kwa kutwaa taji la… Read More
STRAIKA HUYU KUIHAMA BARCELONA MWISHONI MWA MSIMU Sandro Ramirez (20), alikuwa akitabiriwa kuwa ni shujaa ajae wa Barcelona. Akiwa ametokea katika Academy ya klabu hiyo ya Barcelona, lakini ameambiwa na kocha wake Luis Enrique kuwa hana mipango nae. Kwahiyo Barcelona w… Read More
BARCELONA WATETEA UBINGWA WAO Barcelona imetwaa ubingwa wa La Liga baada ya kuifunga Granada kwa jumla ya magoli 3 – 0 magoli yote yakifungwa na Luis Suarez, Barcelona wametwaa ubingwa huo kwa tofauti ya pointi 1 tu na mahasimu wao wakubwa Real Madri… Read More
SUAREZ AMTAJA ATAKAEKUWA MCHEZAJI BORA DUNIANI Luis Suarez ameeleza kwanini anaamini Neymar atakuwa mchezaji bora duniani siku za usoni. Neymar amekuwa katika presha kidogo wiki za hivi karibuni, lakini mchezaji mwenzie Luis Suarez anaamini Neymar atarithi nafasi… Read More
CHRISTIANO RONALDO AITAJA TIMU ATAKAYOMALIZIA MAISHA YAKE YA SOKA Baada ya uvumi mwingi kuwa Christiano Ronaldo anataka kuondoka Real Madrid, wengine wakimuhisha kujiunga na PSG na wengine Man United, Ronaldo ameamua kufunguka na kuweka wazi timu atakayomalizia soka lake. Christiano R… Read More
0 comments:
Post a Comment