Thursday, March 16, 2017

Ahmad Ahmad rais mpya CAF ashinda kwa kishindo,ambwaga Issa Hayatou




Kiongozi wa mpira nchini Madagascar Ahmad Ahmad amembwaga Rais CAF aliedumu kwa 29 Issa Hayatou katika kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Rais wa shirikisho la Mpira barani Afrika CAF.
Ahmad amepata kura 34 wakati Hayatou amepata kura 20, uchaguzi uliofanyika nchini Ethiopia
“Ukitaka kufanya jambo fanya” alisema Ahmad “na mimi nimefanya”

Ahmad (57) ambae kabla ya kuwa rais wa chama cha soka cha Madagascar 2003 aliwahi kuwa mchezaji na badae akawa mwalimu(kocha).

wakati huo huo Zanzibar nayo Rasmi yawa mwanachama katika shirikisho hilo

0 comments:

Post a Comment