Saturday, February 11, 2017

Ligi Daraja la kwanza Tanzania bara kuendelea leo february 11kwa michezo kadhaa kwa makundi miwili tofauti.


Ligi Daraja la kwanza Tanzania bara kuendelea leo kwa michezo kadhaa kwa makundi miwili tofauti.

KUNDI B:

Mkoani Ruvuma

Mlale JKT vs Kurugenzi FC

Mkoani Njombe

Njombe Mji vs Coastal Union
 KUNDI C:

Mkoani Tanga

Mgambo Shooting vs Polisi Dodoma

Mkoani Mara

Polisi Mara vs Mvuvumwa

Mkoani Kilimanjaro:

Panone vs Rhino rangers

Mkoani Singida

Singida United vs Alliance School
michezo yote kupigwa jioni ya leo


Ratiba hii ni kwa msaada wa tff  

Related Posts:

  • Yanga Na Azam Fc Zasusia Ratiba Kombe La FA Hili ndo Kombe La ASFC Yanga na Azam Fc zimesusia Ratiba ya michuano ya Azam Sports Federation Cup hatua ya nusu fainali iliyopangwa kufanyika  April 24 mwaka huu. Timu zote zimetoa sababu ya kushiriki michuano ya kum… Read More
  • Kikosi Cha Yanga Dhidi Ya Mwadui Leo Hiki Hapa KIKOSI CHA YANGA LEO. 1. Deo Boniventura Munishi 2. Juma Abdul Japhary 3. Oscar Fanuel Joshua 4. Nadir Ally Haroub (C) 5. Pato George Ngonyani 6. Thaban Michael Kamusoko 7. Simon Happygod Msuva 8. Haruna Fadhil N… Read More
  • Kiiza, Juuko Murshid Kikaangoni Msimbazi Tayari Simba wameanza kuangushiana lawama za chinichini. Jambo ambalo si sahihi lakini wapo ambao walikuwa chanzo cha kuua umoja katika mechi hiyo au kutokuwa makini, kukachangia wao kung’oka. Kiiza&Juuko kikaangoni:… Read More
  • Kombe La FA Ngoma nzito.... Angalia matokeo ya droo hapa.Droo ya michuano ya Kombe la Shirikisho hatua ya nusu fainali, leo imepangwa. Mwadui FC imepangiwa Azam FC na mechi ya kwanza itachezwa mjini Shinyanga wakati Yanga wao watacheza na Coastal Union ambao wataanzia mjini Tanga. … Read More
  • Afya Ya Kapombe Yazidi Kuimarika BEKI kisiki wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Shomari Kapombe, anaendelea vema na matibabu nchini Afrika Kusini huku ikielezwa kuwa afya yake inazidi kuimarika kadiri siku zinavyosogea. Kapombe yupo jiji… Read More

0 comments:

Post a Comment