Sunday, October 16, 2016

MATOKEO YA MICHEZO YA LEO VPL


MATOKEO YA MICHEZO YA LEO VPL
Uwanja wa uhuru tumeshuhudia mpira ukiwa ni wa kupaniana sana hasa kipindi cha kwanza ambapo kadi za njano nyingi zilitoka na huku kila timu ikionekana kutokumwamini mwamuzi Israel Nkongo. Mpka kipindi cha kwanza kinakamilika timu zilitoka sare tasa na kushuhudia Juma Abdul akitolewa baada ya kuumia na nafasi yake kuchukuliwa na Mbuyu Twite.
Kipindi cha pili Azam waliachana na mwamuzi na kuanza kujiamini na kutengeneza nafasi nyingi lakini umakini wa beki wa yanga na golikipa wao Deo MUnish kuwa makini langoni. Mpka mwisho wa mchezo Azm 0 0 Yanga na kuifanya yanga ijiongezee alama moja halikazalika hivyohvyo kwa Azam.
Mchezo mwingine ni kule Mabatini ambapo wenyeji Ruvu Shooting waliilaza Mbeya city kwa goli moja.

Mtibwa wamekwenda Sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons, wakati huko ccm kirumba Vijana wa Kali Ongala Majimaji ya Songea waliilaza Toto Afrikan ya Mwanza kwa magoli mawili  kwa moja.



Related Posts:

  • YANGA YAZIDI KUCHANJA MBUGA KAZI IMEBAKI KWA AZAM NA SIMBA LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea tena hivi leo katika viwanja 4, huko Jijini Mwanza wenyeji Toto Africans Wakiikaribisha Yanga. Mchezo huo ulioshuhudiwa na maelfu ya watazamaji ulikuwa na wa kuvutia ukizingatia kwamba t… Read More
  • KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA TOTO AFRICANS KIKOSI CHA YANGA LEO. 1. Deogratius Munishi Dida. 2. Juma Abdul Japhary. 3. Oscar Fanuel Joshua. 4. Kelvin Patrick Yondani. 5. Vicent Bossou. 6. Salum Abo Telela. 7. Saimon Happygod Msuva. 8. Haruna Fadhil Niyo… Read More
  • TCHETCHE YUKO FITI KUIVAA SIMBA MSHAMBULIAJI hatari wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Kipre Tchetche, yupo fiti asilimia 100 kuivaa Simba  kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) utakaofanyika Uwanja wa Taifa, D… Read More
  • HIZI NDO REKODI ZA SIMBA NA AZAM (HEAD-TO-HEAD) Simba leo wataingia uwanjani kuwakabili Azam Fc vijana wa Chamanzi katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara. Timu hizi zinakutana leo zote zikiwa zinahitaji matokeo ya ushindi ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kupigania… Read More
  • YANGA YAENDELEA KUJIWEKA FITI KLABU ya Dar Young Africans imeendelea na mazoezi huko mwanza katika viwanja vya DIT wakijiandaa na mchezo wao dhidi ya Toto Africans ambao utachezwa siku ya Jumamosi April 30, Yanga ambayo inashika nafasi ya kwanza kw… Read More

0 comments:

Post a Comment