Thursday, May 26, 2016

TFF YAKATAA KUWA MWENYEJI KOMBE LA KAGAME

Shirikisho a Soka Tanzana (TFF), limetangaza kutoandaa michuano ya kuwania Kombe la timu za nchi wanachama wa Shirikisho la Soka la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), maarufu kama Kombe la Kagame kwa mwaka 2016 kama ilivyopendekezwa.



Sababu za TFF ya kutoandaa fainali hizo ni kwa kubanwa na ratiba ya michuano ya kitaifa na kimataifa.

Awali mkutano mkuu wa CECAFA, uliamua Zanzibar iwe mwenyeji wa michuano ya Kagame.Baadaye kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa ilionekana Zanzibar hawataweza kufanya.

Baada ya hapo TFF ilianza kuangalia uwezekano wa mashindano haya kwa kumshirikisha mabingwa wa 2015/16 ambao ni Yanga.

Kutokana na ratiba ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CAFCC) iliyotolewa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), kipindi ch Juni hadi Agosti, 2016 Yanga watakuwa na kwenye michuano ya CAF hatua ya makundi hivyo ushiriki wao CECAFA utakuwa mgumu ilihali michuano ya CECAFA imepangwa kufanyika Juni na Julai, mwaka huu.



CHANZO: TFF

Related Posts:

  • YANGA WAMWONGEZEA MKATABA PLUIJM Mabingwa wa ligi kuu Vodacom na wawakilishi pekee Afrika Mashariki katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika (CAF CC), Yanga wamemwongezea mkatabawa miaka miwili kocha wao Hans Van Pluijm. Kocha huyo ambaye ame… Read More
  • SIMBA WAIPANIA NDANDA FC Katibu mkuu wa Simba, Patrick kahemela ameapa kurudisha furaha na kuachana na machungu ya kutoka vichwa chini katika mechi zao za ligi kuu. Kiongozi huyo amesema Ndanda FC ndiyo itakuwa ya mfano kwani imepania kuwapa raha… Read More
  • HII NDO SABABU YA YANGA KUTOKUUZA WACHEZAJI ULAYA Kocha mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amesema wachezaji wengi wa Tanzania hawako tayari kucheza mpira wa kulipwa ulaya. Kwa muda mrefu imeonekana kuwa Yanga inawabania sana wachezaji wake hasa pale wanapopata nafasi ya kut… Read More
  • MWASHIUYA KUIKOSA MEDEAMA SC GHANA Kiungo klabu ya Yanga, Geofry Mwashiuya ataukosa mchezo wa marudiano kati ya Yanga na Medeama SC utakaopigwa nchini Ghana kutokana kuuguza majeraha ya goti. Mwashiuya amewekewa bandeji laini ambayo inamsaidia kupona hara… Read More
  • NAMUNGO FC YAPIGWA FAINI, YAPANDA DARAJA Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imeipiga faini ya Sh. 500,000, Klabu ya Namungo FC ya Lindi kwa kila mechi ambayo mchezaji Imani Vamwanga aliichezea timu hiyo akitumia jina la Emmanuel T.… Read More

0 comments:

Post a Comment