Thursday, July 21, 2016

MWASHIUYA KUIKOSA MEDEAMA SC GHANA

Kiungo klabu ya Yanga, Geofry Mwashiuya ataukosa mchezo wa marudiano kati ya Yanga na Medeama SC utakaopigwa nchini Ghana kutokana kuuguza majeraha ya goti.


Mwashiuya amewekewa bandeji laini ambayo inamsaidia kupona haraka.
Ungana Na Soka24 Facebook, Bonyeza  HAPA  Kwa Habari Za Haraka Za Soka Kote Ulimwenguni.

Related Posts:

  • TFF YAZIKUMBUSHA TENA KLABU ZA LIGI KUU 2016/17 Kwa mara nyingine, Bodi ya Ligi Kuu ya Shirikisho la Soka (TFF) imezikumbusha klabu zitakazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2016/17 kuwa mchakato wa wa utengenezaji kanuni umeanza tangu Mei 5, 2016. Bodi ya Ligi… Read More
  • SIMBA YAIFUATA MAJIMAJI SONGEA Kikosi cha Simba kimesafiri alfajiri ya leo kuelekea Songea tayari kwa mchezo wake dhidi ya Majimaji FC. Simba itaingia katika mchezo huu ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa awali dhidi ya Mwadui FC, hivyo kuh… Read More
  • TAZAMA MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOLIANZISHA MSIMBAZI Kufuatia matokeo mabaya yanayoikumba klabu ya Simba katika mechi zao za hivi karibuni, mashabiki na wanachama wa klabu hiyo wameshindwa kuvumilia na kuamua kujikusanya katika makao makuu ya klabu hiyo kwa kile wanachodai … Read More
  • YANGA YAWASILI SALAMA JIJINI MBEYA Timu ya Yanga imewasili salama jijini Mbeya Asubuhi ya leo wakitokea Dar, Kesho saa 10 : 00 alasiri mabingwa hao watashuka katika uwanja wa Sokoine kuwakabili wagonga nyundo Mbeya City! Jioni ya leo na kesho asubuhi Yan… Read More
  • HASSAN RAMADHANI KESSY AMWAGA WINO YANGA Beki wa kulia wa Simba SC, Hassan Ramadhani Kessy (katikati) akitia dole gumba kwenye fomu za Mkataba wa Yanga, Kessy amesaini miaka miwili kuitumikia Yanga kuanzia mwezi ujao. Zoezi hilo lilifanyika juzi usiku mjini Dar… Read More

0 comments:

Post a Comment