Thursday, July 21, 2016

PICHA ALIYOPOST MKEWE MOURINHO YAZUA UTATA UJIO WA POGBA MAN U

Mashabiki wa Manchester United wamekuwa katika hali ya sintofahamu kuhusu ujio wa Pogba Man U hasa baada ya Mke wa Jose Mourinho kupost picha ambayo Mourinho amemjumuisha Pogba katika hesabu zake.


Picha hiyo ilipostiwa katika mtandao wa twiter na mke huyo wa Mourinho ikionyesha ubao ambao makocha huutumia katika kupanga mbinu zao. Katika picha hiyo katikati panaonekana jina la Pogba na Fellaini wakati huo suala la Pogba kutua Man U bado likiwa ni kitendawili.

Ukiangalia kwa makini sehemu iliyozungushiwa ranig nyekundu kwa juu linaonekana jina la Pogba na chini yake lipo la Fellaini
Picha hiyo pia inayonyesha kuwepo katika ofisi ya Mourinho, Mashabiki waliamua kuikuza (Zoom) picha hiyo na kufanikiwa kuliona jina la Pogba katika ubao huo.
Ungana Na Soka24 Facebook, Bonyeza  HAPA  Kwa Habari Za Haraka Za Soka Kote Ulimwenguni.





Related Posts:

  • USAJILI YANGA NI MWENDO MDUNDOKlabu ya Yanga imesema bado ina mipango ya kusajili wachezaji wa kimataifa kwa ajili ya kukisaidia kikosi chao kufanya vizuri katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika (CAF CC). Yanga imeshawanasa wachezaji wann… Read More
  • HUKU NDIKO SIMBA WANAKOSAKA NYOTA WAPYA Klabu ya Simba ipo katika pilikapilika za kuhakikisha wanaimarisha kikosi chao lengo likiwa ni kutwaa ubingwa wa ligi msimu ujao. Katika kuhakikisha wanafanya usajili wa uhakika Simba imeelekeza nguvu zake nchini Uganda,… Read More
  • TAARIFA YA MOURINHO YAWAGAWA MASHABIKI MAN UKlabu ya Manchester United ilitangaza majina ya wachezaji wake ambao wataendelea kuitumikia United huku pia wakithibitisha kuwa nyota wanne hawana nafasi tena klabuni hapo. Kiungo Nick Powell ni miongoni mwa wachezaji amba… Read More
  • MBUYU TWITE NDANI ISSOUFOU BOUBACAR NJE YANGA Habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba Kiungo wao wa kimataifa wa Rwanda Mbuyu Twite ameongeza mkataba katika klabu hiyo. Ikiwa tayari Yanga imefanikiwa kuwasajili wachezaji wawili golikipa Beno Kakolanya kutoka Ta… Read More
  • MAROUANE FELLAINI:"HIKI NDO ALICHONIAMBIA MOURINHO"Marouane Fallaini ameweka wazi kuwa Kocha Jose Mourinho alimtumia ujumbe alipowasili Man United. Kiungo huyo wa Ubelgiji amesema Mourinho alimtumia ujumbe akimkaribisha United huku pia akimtakia kila la kheri katika michua… Read More

0 comments:

Post a Comment