Monday, May 30, 2016

NAIBU WA CHAMA CHA KUPAMBANA NA UHAMIAJI UJERUMANI AMTOLEA MANENO YA KIBAGUZI JEROME BOATENG

Naibu Kiongozi wa Chama Cha kupambana na Uhamiaji Ujerumani ameonyesha wazi ubaguzi wake kwa Jerome Boateng mchezaji wa Bayern na Timu ya Taifa ya Ujerumani. 

Alexander Gauland



Alexander Gauland, alisema watu wanafikiri Boateng ni mchezaji mzuri lakini kamwe yeye hawezi kumfanya rafiki, Gauland alizungumza maneno hayo alipokuwa anazungumza na gazeti la Ujerumani la The Frankfurter Allgemeine.  


Kitendo hicho kimemfanya naibu huyo alaaniwe vikali na wachezaji mbalimbali, Rais wa shirikisho la soka Ujerumani pamoja na waziri wa mambo ya Ndani. 

Hata hivyo Gauland alijibu baadae kuwa hakumaanisha kumdhalilisha Jerome Boateng.

Related Posts:

  • Mnyama Afanyiwa Ujangili TaifaTimu ya soka ya Simba SC imejikuta nje ya michuano ya FA baada ya kupokea kichapo toka kwa timu ya Coastal Union. Katika mchezo huo wa vuta nikuvute Coasta ilikuwa yakwanza kutikisa nyavu za Simba baada ya mchezaji Yusuf kupi… Read More
  • Adam Johnson Kukata Rufaa Mchezaji Adam Johnson amefikia maamuzi ya kukata rufaa kufuatia sakata lake la kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka 18, Johnson ameamua kufikia maamuzi hayo baada ya hukumu yake ya kifungo cha… Read More
  • Mrembo Afichua Siri Za Christiano Ronaldo Licha ya kuwa na majukumu mengi ya kuitumikia moja ya klabu kubwa duniani lakini Cristiano Ronaldo bado yuko vizuri kukimbizana warembo wakali. Star huyo wa Madrid amekuwa na mahusiano na vimwana wenye majina makubwa kwa … Read More
  • Ratiba Ya UEFA Leo Jumanne April 12/2016 Hii Hapa UEFA Champions League Jumanne April 12/2016 21:45 Manchester City v PSG Aggregate 2 - 2 21:45 Real Madrid v Wolfsburg Aggregate 0 - 2 … Read More
  • Mengine Yakustaajabisha Yanayomhusu Neymar Jr Ni mara chache sana hutokea mtu  kumsikitikia mchezaji Mkubwa anaepata kipato kidogo, lakini habari zilizovuja hivi punde kupitia mtandao wa Football Leaks zinaonyesha kwamba Neymar anapata Sh. Milioni 240 kw… Read More

0 comments:

Post a Comment