Home »
Kimataifa
» NAIBU WA CHAMA CHA KUPAMBANA NA UHAMIAJI UJERUMANI AMTOLEA MANENO YA KIBAGUZI JEROME BOATENG
Naibu Kiongozi wa Chama Cha kupambana na Uhamiaji Ujerumani ameonyesha wazi ubaguzi wake kwa Jerome Boateng mchezaji wa Bayern na Timu ya Taifa ya Ujerumani.
 |
Alexander Gauland |
Alexander Gauland, alisema watu wanafikiri Boateng ni mchezaji mzuri lakini kamwe yeye hawezi kumfanya rafiki, Gauland alizungumza maneno hayo alipokuwa anazungumza na gazeti la Ujerumani la The Frankfurter Allgemeine.
Kitendo hicho kimemfanya naibu huyo alaaniwe vikali na wachezaji mbalimbali, Rais wa shirikisho la soka Ujerumani pamoja na waziri wa mambo ya Ndani.
Hata hivyo Gauland alijibu baadae kuwa hakumaanisha kumdhalilisha Jerome Boateng.
Related Posts:
Mnyama Afanyiwa Ujangili TaifaTimu ya soka ya Simba SC imejikuta nje ya michuano ya FA baada ya kupokea kichapo toka kwa timu ya Coastal Union.
Katika mchezo huo wa vuta nikuvute Coasta ilikuwa yakwanza kutikisa nyavu za Simba baada ya mchezaji Yusuf kupi… Read More
Adam Johnson Kukata Rufaa
Mchezaji Adam Johnson amefikia maamuzi ya kukata rufaa
kufuatia sakata lake la kufanya mapenzi na binti mwenye umri wa chini ya miaka
18, Johnson ameamua kufikia maamuzi hayo baada ya hukumu yake ya kifungo cha… Read More
Mrembo Afichua Siri Za Christiano Ronaldo
Licha ya kuwa na majukumu mengi ya kuitumikia moja ya klabu kubwa duniani lakini Cristiano Ronaldo bado yuko vizuri kukimbizana warembo wakali.
Star huyo wa Madrid amekuwa na mahusiano na vimwana wenye majina makubwa kwa … Read More
Ratiba Ya UEFA Leo Jumanne April 12/2016 Hii Hapa
UEFA Champions League Jumanne April 12/2016
21:45
Manchester City v PSG
Aggregate 2 - 2
21:45
Real Madrid v Wolfsburg
Aggregate 0 - 2
… Read More
Mengine Yakustaajabisha Yanayomhusu Neymar Jr
Ni mara chache sana hutokea mtu kumsikitikia mchezaji Mkubwa anaepata kipato kidogo, lakini habari zilizovuja hivi punde kupitia mtandao wa Football Leaks zinaonyesha kwamba Neymar anapata Sh. Milioni 240 kw… Read More
0 comments:
Post a Comment