Wednesday, May 4, 2016
ATLETICO MADRID YAIFUNGISHA VIRAGO BAYERN MUCHEN
Nusu fainali ya UEFA Champions ligi imeendelea Jana kwa mchezo mmoja ulowakutanisha Bayern Muchen ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Atletico Madrid. Mchezo huo ulimalizika kwa Bayern kushinda magoli 2 - 1, hata hivyo Bayern wameondolewa katika michuano hiyo kwa goli la ugenini walilolipata Atletico kufuatia kushinda 1 - 0 katika mchezo uliopigwa Hispania Na goli moja ambalo wamelipata katika mchezo wa Jana, hivyo kufanya Aggregate kuwa 2 - 2.
Magoli yalifungwa Na Alonso dakika ya 31', Griezmann akasawazisha dakika ya 58' Na baadae Lewandowski akaifungia Bayern goli la pili kunako dakika ya 74'.
Mchezo mungine wa nusu fainali utapigwa Leo Kati ya Real Madrid wanaowakaribisha Manchester City.
Related Posts:
MOURINHO NA VAN GAAL KUFANYA KAZI PAMOJA UNITED Man U wameripoti kwamba wameamua kufanya mabadiliko ya Uongozi wa juu lakini Van Gaal atabaki United. Louis Van Gaal atapewa majukumu ya juu ya utawala katika klabu hiyo ili kumpisha Mourinho kuchukua nafasi hapo Unite… Read More
MA SNIPER KULINDA MECHI YA UFUNGUZI EURO 2016 Ma-snjiper watatumika kulinda mechi ya ufunguzi michuano ya Euro 2016 kati ya wenyeji Ufaransa na Romania. Ugaidi bado ni tatizo kubwa barani Ulaya na inaonekana wazi kuwa michuano ya Euro mwaka huu ndio tageti yao kub… Read More
MKE WA IBRAHIMOVIC AMKATAZA MUWEWE KUJIUNGA NA MAN U Mke wa Zlatan Ibrahimovic hataki mumewe ajiunge na klabu ya Manchester United. Helena Seger Mashabiki wa Manchester United walizipokea kwa furaha habari zilizomhusisha Zlatan kujiunga na klabu yao, lakini furaha hiyo … Read More
FIFA YAPELEKA SEMINA YA CLUB LICENSING ETHIOPIA Wawakilishi wa Vilabu na Vyama Vya Mpira kutoka pande zote za Afrika watakutana Jijini Addis Ababa, Ethiopia wiki hii kwa ajili ya semina ya Club Licensing. Wawakilishi wa Vilabu na Vyama Vya Mpira kutoka pande zote za… Read More
HIZI NDO BLA BLA ZA MOURINHO NA MAN U TANGU 2015 Jose Mourinho amekuwa akihusishwa na kujiunga na United tangu Disemba 2015. Jose Mourinho amekuwa akihusishwa na kuchukua mikoba ya Van Gaal United tangu atimuliwe na Chelsea. Soka24 inakuletea mtiririko wa matukio ya… Read More
0 comments:
Post a Comment