Friday, May 20, 2016

MA SNIPER KULINDA MECHI YA UFUNGUZI EURO 2016

Ma-snjiper watatumika kulinda mechi ya ufunguzi michuano ya Euro 2016 kati ya wenyeji Ufaransa na Romania.



Ugaidi bado ni tatizo kubwa barani Ulaya na inaonekana wazi kuwa michuano ya Euro mwaka huu ndio tageti yao kubwa. Mechi ya Ufunguzi kati ya Ufaransa na Romania sambamba na mechi ya fainali ya michuano hiyo inahofiwa kuwa ndio michezo ambayo magaidi watafanya mashambulizi yao hii ni Kwa mujibu wa ripoti ya ofisi ya polisi inayoshughulika na makosa ya jinai ya nchini Ujerumani  (Bundeskriminalamt – BKA) iliyochapishwa katika gazeti la nchini humo.

Mechi hiyo ya Ufunguzi kati ya Ufaransa na Romania itachezwa June 10 katika uwanja wa Stade de France Stadium jijini Paris, moja kati ya miji ambayo inalengwa sana na magaidi. 

Shirikisho la Mpira wa miguu barani Ulaya UEFA limepanga kupeleka maaskari 10,000 kwenda kuimarisha ulinzi katika michezo yote itakayochezwa katika michuano hiyo lengo likiwa kila mechi moja ilindwe na askari 900.

Related Posts:

  • Hii Ndo Ratiba Ya EUROPA League UEFA Europa League Thursday, April 28, 2016 22:05 Shakhtar Donetsk v Sevilla  22:05 Villarreal v Liverpool Thursday, May 5, 2016 22:05 Liverpool v Villarreal 22:05 Sevilla FCSevill… Read More
  • Tanzania Yazidi Kupata Umaarufu Duniani Bondia Ibrahim Class Bondia mtanzania Ibrahim Class ‘King Class Mawe’ameendelea kutamba katika mapigano yake nje ya nchi baada ya usiku wa kuamkia jana kufanikiwa kumtwanga Mjerumani huko Panama City Amerika Kusini. … Read More
  • Samatta Habari Nyingine Jamani Samatta akishangilia Baada ya kufunga bao Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta ameendelea kung’ara Ulaya baada ya kuifungia tena klabu yake, KRC Genk katika ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya wenyeji SV Zulte-Waregem. Katika… Read More
  • Wachezaji Tano Waliofariki Uwanjani Mpira wa miguu ni moja kati ya michezo inayopendwa zaidi duniani. Mashabiki na wapenzi wa mchezo huo hufurahia pale wanapowaona wachezaji wao wakifanya vitu vizuri uwanjani, wengine furaha zao hupitiliza hadi kuwa vilio.… Read More
  • Ratiba Ya UEFA Champions League Nusu Fainali Full Champions League semi-final draw: Manchester City (ENG) vs Real Madrid (ESP) Atletico Madrid (ESP) vs Bayern Munich (GER) Champions League Final: Winner of semi-final 1 vs Winner of semi-final 2 … Read More

0 comments:

Post a Comment