Saturday, May 6, 2017

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, inatarajiwa kuendelea leoJumamosi Mei 6 na Jumapili Mei 7, 2017


Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, inatarajiwa kuendelea leoJumamosi Mei 6 na Jumapili Mei 7, mwaka huu kwa jumla ya michezo sita kupigwa mikoa tofauti
Jumamosi hii itapigwa michezo mitano katika mikoa minne tofauti.
Dar es salaam.
Yanga vs Tanzania Prisons  Uwanja wa Taifa
Azam vs Mbao Fc   Azam Uwanja Complex Chamanzi
Pwani
Ruvu Shooting vs Kagera Sugar  Uwanja Mabatini
Mwanza
Toto African vs JKT Ruvu Uwanja CCM Kirumba
Ruvuma
Majimaji vs Mwadui Uwanja wa Majimaji
Kesho jumapili 7 may
Simba SC vs African Lyon Uwanja wa Taifa


0 comments:

Post a Comment