Saturday, May 6, 2017

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, inatarajiwa kuendelea leoJumamosi Mei 6 na Jumapili Mei 7, 2017


Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, inatarajiwa kuendelea leoJumamosi Mei 6 na Jumapili Mei 7, mwaka huu kwa jumla ya michezo sita kupigwa mikoa tofauti
Jumamosi hii itapigwa michezo mitano katika mikoa minne tofauti.
Dar es salaam.
Yanga vs Tanzania Prisons  Uwanja wa Taifa
Azam vs Mbao Fc   Azam Uwanja Complex Chamanzi
Pwani
Ruvu Shooting vs Kagera Sugar  Uwanja Mabatini
Mwanza
Toto African vs JKT Ruvu Uwanja CCM Kirumba
Ruvuma
Majimaji vs Mwadui Uwanja wa Majimaji
Kesho jumapili 7 may
Simba SC vs African Lyon Uwanja wa Taifa


Related Posts:

  • Tanzania Yazidi Kupata Umaarufu Duniani Bondia Ibrahim Class Bondia mtanzania Ibrahim Class ‘King Class Mawe’ameendelea kutamba katika mapigano yake nje ya nchi baada ya usiku wa kuamkia jana kufanikiwa kumtwanga Mjerumani huko Panama City Amerika Kusini. … Read More
  • Hiki Ndio Kikosi Cha Yanga Leo Dhidi Ya Mtibwa Sugar LIGI KUU || TZ - BARA || 2015~2016. YANGA SC Vs MTIBWA SUGAR FC. UWANJA - Uwanja wa Taifa. Muda - saa 10 : 00Alasiri. >>>>>>KIKOSI CHA YANGA LEO<<<<<<<< 1. Deogratias Bonave… Read More
  • Hapatoshi Leo Tena Taifa Patashika za ligi kuu ya kandanda tanzania bara zinaendelea tena leo kwa mchezo mmoja tu kupigwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam ukiwakutanisha wenyeji Simba SC dhidi ya Toto Africans ‘wana kishamapanda’kutok… Read More
  • TFF Yatuma Salamu Za Rambirambi MZFA Shirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetuma salamu za rambirambi kwa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Mwanza (MZFA), kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti mstaafu wa MZFA na makamu mwenyekiti wa FAT Silvanus Maka… Read More
  • Azam Fc Kuifuata Esperance De Tunis KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, inatarajia kuondoka leo kuelekea jijini Tunis kwa ajili ya kukabiliana na Esperance ya huko kwenye mchezo wa marudiano wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika utaka… Read More

0 comments:

Post a Comment