Magoli matatu
ya Paulinho katika dakika ya 18, 51 na 90 na moja la Neymar
yameiwezesheza timu
ya taifa ya Brazil kuibuka na ushindi mnono ugenini dhidi
ya Uruguay wa goli 4 - 1, goli la
Uruguay lilifungwa kwa penati dakika za mwanzoni kabisa 8’.
Mchezo wa
jana ni muendelezo wa michezo ya kufuzu kwa kombe la dunia yatakayofanyika
nchini Urusi mwakani kwa bara la Amerika.
Michezo
mingine iliyopigwa jana na Matokeo yake ni kama inavyoonekana hapo chini:
Uruguay
1 - 4 Brazil
Paraguay
2 - 1 Ecuador
Argentina
1 - 0 Chile
Venezuela
2 - 2 Peru
0 comments:
Post a Comment