Wednesday, March 15, 2017

Azam yaifuata Mbabane Swallows kwa matumaini kibao



Timu ya Azam leo Asbuhi imeondoka Kuelekea Swaziland tayari kwa mchezo wa marudiano na  Mbabane Swallows.

Katika mchezo uliofanyika Tarehe 12 uwanja wa Chamanzi Azam waliibuka na ushindi wa goli 1 kwa 0 kwa goli la Ramadhani Singano.

Azam wanaenda Swaziland kutafuta sare au ushindi wa aina yoyote ile ili waweze kusonga mbele katika michuano hiyo ya kombe la shirikisho barani Afrika.

Mchezo huo wa marudiano utafanyika jumapili ya 19 katika Uwanja wa Somhlolo, mjini Mbabane.
Kocha Msaidizi wa timu ya Azam amewaondoa hofu watanzania kwa kusema yafuatayo ““Maandalizi yako vizuri vijana wote wanafuraha, wanaari na morali ya kuhahakisha tunasonga mbele katika raundi inayofuata, tunaenda na changamoto kadhaa, ya kwanza kuhahakisha wavu wetu hautikiswi, kama hatufungi basi tusifungwe,”.

Cheche aliendelea kusema “Tutaenda kufanya kazi ya uhakika, lakini huku nyumbani tunawaomba Watanzania watuombee dua na vilevile waendelee kutusapoti na sisi tutahakikisha tunawawakilisha vema ili kuipa hadhi nchi yetu,”

Mungu ibariki Azam

Mungu ibariki Tanzania

Related Posts:

  • KIKOSI CHA YANGA LEO DHIDI YA TP MAZEMBEKIKOSI CHA YANGA LEO. 1. Deogratius Bonaveture Munishi 'Dida' 2.Juma Abdul Mnyamani. 3. Mbuyu Twite Junior. 4. Kelvin Patrick Yondani "Cotton" 5. Vicent Bossou. 6. Thaban Michael Kamusoko. 7. Juma Mahadhi. 8. Haruna Fadhil… Read More
  • CAF YAIBEBA YANGA KUELEKEA MECHI NA MAZEMBEShirikisho la Mpira wa miguu barani Afrika CAF, limewaidhinisha wachezaji watatu wa Yanga ambao walikuwa wanatumikia adhabu ya kadi kucheza, kucheza katika mchezo wao na TP Mazembe. Wachezaji wa Yanga, Oscar Joshua, Nadir … Read More
  • YANGA KULIPA ZAIDI YA MILION 500 CAFKlabu ya Yanga imetakiwa kulipa fidia ya Tsh. milioni 530 kama fidia ya gharama za mchezo wao dhidi ya TP Mazembe baada ya kuruhusu mashabiki kuingia bure uwanjani. CAF na TFF imefikia hatua hiyo baada ya Yanga kufuta kiin… Read More
  • CAF YAIFUTA ES SETIF KLABU BINGWA AFRIKAMabingwa mara mbili wa kombe la klabu bingwa Afrika, ES Setif wametolewa katika michuano hiyo kufuatia vurugu zilizofanywa na mashabiki wao. Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF limeiondoa klabu ya ES Setif kweny… Read More
  • HII NDO HALI ILIYOPO UWANJA WA TAIFA WATU WAMEFURIKA Kuelekea Mchezo kati ya Yanga na TP Mazembe Leo Jioni Hivi Ndivyo Mashabiki Walivyofurika Uwanja Wa Taifa Mapema Leo Kusubiri Mchezo Huo. KILA LA KHERI YOUNG AFRICA Like Ukurasa Wa Soka24 Facebook Hapa … Read More

0 comments:

Post a Comment