Friday, November 11, 2016

msimamo mpaka sasa baada ya Raundi ya kwanza kukamilika

Round ya kwanza ya ligi kuu Tanzania Bara imefikia tamati jana na mtifuano upo nafasi tatu za juu wakati azam fc wakionekana kuzinduka huku vinara simba fc wakipoteza pointi sita katika michezo miwili mfululizo, na wakati huohuo mabingwa wa ligi hiyo yanga wao wanaendelea kuikaribia simba.
Wakati timu zilizopo mkiani zikiendelea kupokezana nafasi mara leo hii kesho ile ila mpaka sasa toto Africans ndio timu inayoshika mkia wa ligi hiyo.
Msimamo ni kama unavyoonekana


Related Posts:

0 comments:

Post a Comment