Wednesday, June 15, 2016

MEDEAMA SC KUJITOA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA (CAF CC)

Medeama huenda ikajitoa katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika CAF CC, kutokana na hali ngumu ya kifedha.
Medeama imepangwa kucheza na TP-Mazembe katika mchezo wa kwanza wa hatua hiyo Juni 19,2016.

CAF bado hawajavipa fedha vilabu vilivyofuzu hatua hii ya makundi hali inachangia ukata zaidi kwa Medeama huku pia juhudi za kutafuta pesa kwa ajili ya safari kuelekea Congo kucheza dhidi ya TP Mazembe zikiwa hazijazaa matunda, Klabu ipo katika ukata mkubwa na inahitaji msaada wa kifedha haraka, Vinginevyo Medeama watajitoa katika mashindano endapo hawatapatiwa msaada wa kifedha.

Imetolewa na;
Benjamin Kessie
Administrative Manager/Communication team member.(Medeama)
Bonyeza hapa ku-Like Page ya Soka24 Facebook

Related Posts:

  • MEDEAMA SC KUJITOA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA (CAF CC)Medeama huenda ikajitoa katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika CAF CC, kutokana na hali ngumu ya kifedha. Medeama imepangwa kucheza na TP-Mazembe katika mchezo wa kwanza wa hatua hiyo Juni 19,2016. CAF bado h… Read More
  • YANGA TAYARI KWA KUIVAA MO BEJAIA Timu Ya Yanga imeshawasili nchini Algeria tayari kwa kuwavaa MO Bejaia katika mchezo wa kwanza hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika CAF CC, utakaofanyika siku ya kesho Jumapili juni 19, 2016 … Read More
  • WALICHOKIFANYA MO BEJAIA KUHAKIKISHA YANGA HAWATOKI ALGERIA Wapinzani wa Yanga katika Kundi A la michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika, MO Bejaia kutoka Algeria wamefanya mabadiliko katika benchi lao la ufundi. Kocha Nacer Sandzak ameteuliwa kuwa kocha mkuu mpya kuchukua … Read More
  • CAF YAISAFISHIA NJIA YANGAShirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF), limemthibitisha beki Hassan Kessy kuichezea Yanga katika michuano ya Kombe la CAF CC katika hatua ya makundi. Caf pia imetuma leseni ya wachezaji wengine watatu wa Yanga walioonge… Read More
  • KOCHA YANGA ATOA ONYO KALI CAFKocha Mkuu wa Yanga, Hans Van Pluijm ameliomba shirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF) kuchukua hatua kali kwa klabu ambazo mashabiki wake wataleta vurugu dhidi ya timu pinzani. Pluijm ametoa onyo hilo kwa CAF wakati huu… Read More

0 comments:

Post a Comment