Wednesday, June 8, 2016

HUU NDO USAJILI WA KWANZA WA MOURINHO MAN U

Mlinzi wa kati wa klabu ya Villarreal ya nchini Hispania Eric Bailly huenda akawa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na Mourinho katika klabu ya Man United.



Ripoti kutoka ndani ya klabu ya Man U zinasema wameshafikia makubaliano na Bailly 22, na kwamba kinachosubiriwa hivi sasa ni vipimo tu, endapo matokeo ya vipimo hivyo yatakuja vizuri basi Bailly atakuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na kocha Mourinho mara baada ya kujiunga na Mashetani wekundu.

Uhamisho huo wa Bailly kutoka Villarreal utawagharimu United kitita cha paundi milioni 30.

Zlatan Ibrahimovic ndiye alitarajiwa kuwa mchezaji wa kwanza kusajiliwa na United lakini hadi hivi sasa mambo yamekuwa kimya.

Related Posts:

  • BRENDAN RODGERS KOCHA MPYA CELTIC Rodgers aliyetimuliwa na Liverpool mwezi October 2015 amechukua nafasi ya kocha Ronny Deila aliyeachia ngazi katika klabu ya Celtic ya nchini Scotland. Kocha huyo wa Zamani wa Liverpool na Swansea amesaini mkataba wa mie… Read More
  • WENGER KUMWONGEZA MKATABA JACK WILSHERE Meneja Wa Arsenal Arsene Wenger Amepanga Kumwongezea Mkataba Mrefu Zaidi Wilshere. Arsene Wenger  ana mpango wa muda mrefu na Jack Wilshere hivyo kupanga kumwongezea mkataba utakaomuweka klabuni hapo kwa muda mrefu … Read More
  • TIMU YA SAMATTA YAIBAMIZA ANDERLECHT 5 - 2 GENK 5 - 2 ANDERLECHT WAFUNGAJI;KRC GENK L. Bailey 45'+, T. Buffel 65', Pozuelo 76', O. Ndidi 78', N. Karelis 90'+ ANDERLECHT; F. Đuričić 25', M. Suárez 60' … Read More
  • HIZI NDO BLA BLA ZA MOURINHO NA MAN U TANGU 2015 Jose Mourinho amekuwa akihusishwa na kujiunga na United tangu Disemba 2015. Jose Mourinho amekuwa akihusishwa na kuchukua mikoba ya Van Gaal United tangu atimuliwe na Chelsea. Soka24 inakuletea mtiririko wa matukio ya… Read More
  • MOURINHO NA VAN GAAL KUFANYA KAZI PAMOJA UNITED Man U wameripoti kwamba wameamua kufanya mabadiliko ya Uongozi wa juu lakini Van Gaal atabaki United. Louis Van Gaal atapewa majukumu ya juu ya utawala katika klabu hiyo ili kumpisha Mourinho kuchukua nafasi hapo Unite… Read More

0 comments:

Post a Comment