Sunday, April 10, 2016
Jose Mourinho Safari Hii Kwenye Ngumi
Nyota kibao wa soka na michezo mingine wamejitokeza kushuhudia pambano la uzito wa juu ubingwa IBF kati ya Anthony Joshua na Mmarekani Prince Martin. Joshua ameshinda pambano hilo kwa KO katika raundi ya pili.
Lakini kocha wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho ameibukia kwenye ngumi hizo na kuendeleza vituko vyake.
Wakati Joshua akiendelea kushambulia na wengi kupata midadi kwa kusimama, Mourinho aliendelea kuketi huku ikionekana hakuwa akiona kitu kuhusiana na pambano hilo na wala hakujali huku ikionekana ni kama kitu kilichomshangaza.
Related Posts:
GOLI LA UTATA LAITUPA BRAZIL NJE YA COPA AMERICAKwa Mara ya kwanza tangu mwaka 1987 Brazil inatolewa katika hatua ya makundi michuano ya Copa America. Timu ya Taifa ya Brazil imeondolewa katika michuano ya Copa America kufuatia goli la utata lililofungwa na Ruidiaz kuna… Read More
PICHA: YANGA NDANI YA UTURUKI ============== Bonyeza hapa ku-Like Page yetu ya Facebook ==============… Read More
MATOKEO COPA AMERICA USA vs PARAGUAY, COLOMBIA vs COSTA RICA MATOKEO COPA AMERICA CONTENARIO Colombia 2 - 3 Costa Rica Fabra 6' Venegas 2' Moreno 73' Fabra 34' (Goli la kujifunga) … Read More
GIROUD, PAYET WAIBEBA UFARANSA MATOKEO EURO 2016 UFARANSA 2 - 1 ROMANIA Giroud 57' Stancu 65' (Penati) Payet 89' … Read More
RATIBA YOTE EURO 2016 RATIBA EURO 2016 IJUMAA, June 10: Group A, France v Romania (SAA 4:00 USIKU; UWANJA- Stade de France, Paris) JUMAMOSI, June 11: Group A, Albania v Switzerland (SAA 10:00 JIONI; UWANJA- Stade Boll… Read More
0 comments:
Post a Comment